Mrejesho: Maisha hua na mwanzo..!!

Mrejesho: Maisha hua na mwanzo..!!

Hapo kwenye kuweka hela timiza baada ya mwezi wanakupa mara mbili yake ulishajaribu mkuu nawakakupa kweli maana hapo wamaanisha ukiweka laki mwezi mzima wanakupa laki nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap niliwah...niliweka kama kujaribu elf 2...baada ya mwezi wakanipa elfu 4....nkaweka elfu 10 wkanipa elfu 20...!!now nmeweka hamsini...na nataka kazi iwe hyo....wakiongeza nairudisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ishu iko hivi...unapoweka pesa yako akiba...wao wanaitumia kibiashara hasa kukopesha...so hela yako inazungushwa..lkn kama ukitaka kuitoa ht kabla ya mwezi inawezkana
Hapo kwenye kuweka hela timiza baada ya mwezi wanakupa mara mbili yake ulishajaribu mkuu nawakakupa kweli maana hapo wamaanisha ukiweka laki mwezi mzima wanakupa laki nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka niliwah kuleta thread nkiomba ushauri kuhusu kupanga....maana nilikuwa nafanya biashara stil nikiwa home maana ndo kwanza nilitoka chuo....sikuwa na ajira ndo nkaamua kujiajiri kwa biashara ya duka la reja reja

Uamuzi huu niliufikiria tangu mwaka jana..na nilihitaji kwanza biashara isimame ndipo nipange chumba

Nashukuru Mungu nilipokea maoni mengi mazuri...japo wengine walidhihaki ila sio mbaya..tupo hapa kujifunza

Nilichofanya kwanza nilipiga hesabu how ntapata pesa...maana kupanga inabd uwe na access ya kupata pesa ya kodi

Nikachunguza projects za kuweka huduma ya kuunganisha namba za tigo kuwa ya chuo

Pia nkaongeza huduma za kutoa hela kwa mitandao ya tigo...voda na airtel kupitia kampuni za mobistock na selcom

Nikafanya mpango pia wa kusajili airtel ili niingie kwenye mchongo wa airtel timiza akiba(hapa unaweka pesa kwenye akaunt ya timiza akiba...unaweka pesa kwa muda wa mwezi mzima bila kuitoa...ukija kuitoa baada ya mwezi wanakupa mara mbili ya pesa uloweka)

Baada ya hapo nikaongeza charger na kobe kwa ajili ya kchajisha sim kw 200/=

Baada ya kpiga hesab na kuona hzo project zna uhakikawa kunipa pesa ndipo wiki ilopita nikahamia kwenye maisha ya kujitegemea(maana baadh ya vitu nlishajipanga)

Niliingia kupanga nikitegemea ntapokea changamoto kwenye biashara...lakini imekuwa tofauti

Pesa mzunguko upo vizuri zaidi ya mwanzo...!!hela napata na inatosha kuliko kawaida

Kwa hli kwakweli namshukuru Mungu...!!

Pia napenda kuwaambia vijana wenzangu....tufanye kazi....tuweke mapenzi pembeni....wanawake tuewaweke nyuma....malengo tuyaweke mbele

Tukishazipata hko mbele na ukahisi kuwa sasa naweza kuweka upenyo kidogo wa mambo mengne ndpo uanze kuruhusu mtu aitwaye mpenz kuingia...(Neno langu sio sheria)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani inafaa kuiweka vyema taarifa ya timiza juu ya kupewa mara mbili.

Nijuavyo mimi (naruhusu kukosolewa) ni kwamba airtel money wana ushirikiano na maendeleo bank ambapo wanaendesha timiza vikoba kwa pamoja.

Katika hiyo timiza vikoba watu wanapaswa kujiunga kikundi cha kuanzia watu watano hadi 50 na kila mwana kikundi atapaswa kulipa akiba yake ya kila wiki.

Baada ya wiki nne kila mwana kikundi atapata haki ya kukopa mara mbili ya akiba yake. Mkopo huo unapaswa kurejeshwa kadiri ya makubaliona.

Hivyo sio kwamba unapewa mara mbili bure bali unaweza kukopa mara mbili.

Taarifa hii nimeitoa kwa nijuavyo mimi na kwa minajili ya mabandiko ya maendeleo bank na airtel. Link ya maelezo kuhusu timiza akiba ni:

Timiza vikoba | Maendeleo Bank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani inafaa kuiweka vyema taarifa ya timiza juu ya kupewa mara mbili.

Nijuavyo mimi (naruhusu kukosolewa) ni kwamba airtel money wana ushirikiano na maendeleo bank ambapo wanaendesha timiza vikoba kwa pamoja.

Katika hiyo timiza vikoba watu wanapaswa kujiunga kikundi cha kuanzia watu watano hadi 50 na kila mwana kikundi atapaswa kulipa akiba yake ya kila wiki.

Baada ya wiki nne kila mwana kikundi atapata haki ya kukopa mara mbili ya akiba yake. Mkopo huo unapaswa kurejeshwa kadiri ya makubaliona.

Hivyo sio kwamba unapewa mara mbili bure bali unaweza kukopa mara mbili.

Taarifa hii nimeitoa kwa nijuavyo mimi na kwa minajili ya mabandiko ya maendeleo bank na airtel. Link ya maelezo kuhusu timiza akiba ni:

Timiza vikoba | Maendeleo Bank

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew wasemea timiza kikoba...mimi nasemea timiza akiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom