Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wangu

Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wangu

Nacherewa

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
285
Reaction score
454
Ni siku nyingi zimepita, nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.

Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari jingine. Nalo likapata ajali akaliuza kwa bei ya hasara , sasa hivi yupo tu mtaani. Nyumba alibaki nayo na mimi nikabaki na kiwanja.

Mwaka jana aliwaambia wazazi wake anataka kuja kuomba msamaha sababu anaona maisha yake yamekuwa na mikosi na hajaweza kufanikiwa toka tumeachana. Wazazi wakamuambia anitafute mwenyewe, ila hakufanya hivyo sababu anaona aibu. Mimi nilishamsamehe, ingawa hakuwahi kuja kuomba msamaha.

Ni yeye kutubu kwa Mungu wake. Nishamove on, na niliweza kufanya mendeleo mengine mengi. Mungu amenipa vibgi zaidi. Nashukuru sana kwa michango yenu

Soma kisa kilipoanzia:Maneno ya kejeli ya mume wangu
 
Ni siku nyingi zimepita ,nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.

Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na
Njoo pm tuyajenge pole sana maisha bila kuangalia mbele sawa na bure
 
Tatizo lako halina tiba?
Vipi kuhusu haja yako ya kupata mtoto?
Huwezi kutumia njia nyingine kupata mtoto ukiondoa tendo la ndoa?
 
Ni siku nyingi zimepita ,nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.

Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari jingine. Nalo likapata ajali akaliuza kwa bei ya hasara , sasa hivi yupo tu mtaani. Nyumba alibaki nayo na mimi nikabaki na kiwanja.

Mwaka jana aliwaambia wazazi wake anataka kuja kuomba msamaha sababu anaona maisha yake yamekuwa na mikosi na hajaweza kufanikiwa toka tumeachana. Wazazi wakamuambia anitafute mwenyewe, ila hakufanya hivyo sababu anaona aibu. Mimi nilishamsamehe, ingawa hakuwahi kuja kuomba msamaha.

Ni yeye kutubu kwa Mungu wake. Nishamove on, na niliweza kufanya mendeleo mengine mengi. Mungu amenipa vibgi zaidi. Nashukuru sana kwa michango yenu

Soma zaidi https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/876139-maneno-ya-kejeli-ya-mume-wangu.html
Kutokufanikiwa kwake,sio kwa sababu mliachana(kuwchsna iweza kuchangia),akituliza akili anaweza kufanikiwa tu,
 
Kutokufanikiwa kwake,sio kwa sababu mliachana(kuwchsna iweza kuchangia),akituliza akili anaweza kufanikiwa tu,
Yeye ndie anajua kwanini hajafanikiwa. Inawezekana ni ile hali ya kujutia tu. Siwezi hukumu kwa hilo, yeye ndie anajihukumu.
 
Leta huo uzi mbona haufunguki. Kwanza hongera kwa kuwa na amani
 
Back
Top Bottom