Ni siku nyingi zimepita, nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.
Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari jingine. Nalo likapata ajali akaliuza kwa bei ya hasara , sasa hivi yupo tu mtaani. Nyumba alibaki nayo na mimi nikabaki na kiwanja.
Mwaka jana aliwaambia wazazi wake anataka kuja kuomba msamaha sababu anaona maisha yake yamekuwa na mikosi na hajaweza kufanikiwa toka tumeachana. Wazazi wakamuambia anitafute mwenyewe, ila hakufanya hivyo sababu anaona aibu. Mimi nilishamsamehe, ingawa hakuwahi kuja kuomba msamaha.
Ni yeye kutubu kwa Mungu wake. Nishamove on, na niliweza kufanya mendeleo mengine mengi. Mungu amenipa vibgi zaidi. Nashukuru sana kwa michango yenu
Soma kisa kilipoanzia:Maneno ya kejeli ya mume wangu
Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari jingine. Nalo likapata ajali akaliuza kwa bei ya hasara , sasa hivi yupo tu mtaani. Nyumba alibaki nayo na mimi nikabaki na kiwanja.
Mwaka jana aliwaambia wazazi wake anataka kuja kuomba msamaha sababu anaona maisha yake yamekuwa na mikosi na hajaweza kufanikiwa toka tumeachana. Wazazi wakamuambia anitafute mwenyewe, ila hakufanya hivyo sababu anaona aibu. Mimi nilishamsamehe, ingawa hakuwahi kuja kuomba msamaha.
Ni yeye kutubu kwa Mungu wake. Nishamove on, na niliweza kufanya mendeleo mengine mengi. Mungu amenipa vibgi zaidi. Nashukuru sana kwa michango yenu
Soma kisa kilipoanzia:Maneno ya kejeli ya mume wangu