Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama unafurahia anachopitia mwamba ,au ndio ulimuendea kwa sangoma nini ,shida kupokezana tuliza mshonoNi siku nyingi zimepita ,nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.
Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari jingine. Nalo likapata ajali akaliuza kwa bei ya hasara , sasa hivi yupo tu mtaani. Nyumba alibaki nayo na mimi nikabaki na kiwanja.
Mwaka jana aliwaambia wazazi wake anataka kuja kuomba msamaha sababu anaona maisha yake yamekuwa na mikosi na hajaweza kufanikiwa toka tumeachana. Wazazi wakamuambia anitafute mwenyewe, ila hakufanya hivyo sababu anaona aibu. Mimi nilishamsamehe, ingawa hakuwahi kuja kuomba msamaha.
Ni yeye kutubu kwa Mungu wake. Nishamove on, na niliweza kufanya mendeleo mengine mengi. Mungu amenipa vibgi zaidi. Nashukuru sana kwa michango yenu
Soma zaidi
Soma tena: Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wanguManeno ya kejeli ya mume wangu
Habari za asubuhi wapendwa, Mimi ni member wa JamiiForums kwa muda mrefu ila nimesajili ID mpya kwa sababu maalum na hayo niliyooyandika ni ya kweli na ndio hali halisi ''Unaroho mbaya ndio maana huzai'' ''Najuta kwanini nilikuoa wapenzi wangu wa zamani ni bora kuliko wewe'' nilikuoa kwa...www.jamiiforums.com
Atajijua mwenyewe. Sijaenda hata kwa Sangoma, yote hayo ya nini.Mbona kama unafurahia anachopitia mwamba ,au ndio ulimuendea kwa sangoma nini ,shida kupokezana tuliza mshono
Bado una makasiriko na hii ni nature ya wanawake wengi ,samahani sikuandami ila all in all potezea tu na hapakua na haja ya kuja kuyaanika hapa hili game linabadilika tu kama paredi kwa kitendo kimoja tu cha nyuma geuka. Shida hua zinamjenga mtu na kumpa ukomavu wa maisha na ndio mda anaoupitia x wako .Atajijua mwenyewe. Sijaenda hata kwa Sangoma, yote hayo ya nini.
Paredi ligeuke kwa sababu gani. Kwani nimemfanyia thulma yoyote. Mtu akuibie kwa maksudi itawezaje kisahau. Ndio nature ya binadamu.Bado una makasiriko na hii ni nature ya wanawake wengi ,samahani sikuandami ila all in all potezea tu na hapakua na haja ya kuja kuyaanika hapa hili game linabadilika tu kama paredi kwa kitendo kimoja tu cha nyuma geuka. Shida hua zinamjenga mtu na kumpa ukomavu wa maisha na ndio mda anaoupitia x wako .
Je paredi ikigeuka utakua tayari kuja kutusimulia hapa unayopitia au ndio madawati ya ujinsia na ustawi wa jamii patahusika ukitadai usaidizi wa malezi? ( kama mlizaa pamoja).
Ila watu. Dah!Sina wowowo.
Hahahah sasa umroge mtu kwa lipi sasa. Sina muda huo. Toka tulipooana na nikaondoka pale wale sikuwahi kwenda kwa mganga. Kaanguka kwa sababu zingine na Mungu ndio anajua kwa nini.Kwa hiyo hukuridhika kuachwa ukaamua umroge ili aanguke?
Na sikuachwa , mimi ndio niliondoka. Na baadae alienda Bakwata eti bado ananipenda. Muda huo kesi ilikuwa mahakamani.Kwa hiyo hukuridhika kuachwa ukaamua umroge ili aanguke?
Asante
Alikudhulumu akajipa percent kubwa katika mgao?Asante, Mungu mkubwa
te
Gari aliuza bila mimi kujua. Na gari nilikuwa nayo kabla ya kufunga ndoa. Ila alikuwa anaitumia yeye.Alikudhulumu akajipa percent kubwa katika mgao?
Yani ye achukue nyumba na gari vyote..we ubaki na kiwanja tu
Hiyo Ni dhulma sasa..ndo maana haijadumu wala kumfaidiaGari aliuza bila mimi kujua. Na gari nilikuwa nayo kabla ya kufunga ndoa. Ila alikuwa anaitumia yeye.
Bora hata angenirusishia gari yangu, nyumba wala sikuwa na mpango nayo kabisa.Hiyo Ni dhulma sasa..ndo maana haijadumu wala kumfaidia
Wowowo ndio inauza spare???Kama una wowowo njoo pm......nitakufungulia duka la spea za magari
Bidada yupi sasa. Mimi au?KARMA ishafanya mambo yake huko kwa bidada.