Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wangu

Mbona kama unafurahia anachopitia mwamba ,au ndio ulimuendea kwa sangoma nini ,shida kupokezana tuliza mshono
 
Atajijua mwenyewe. Sijaenda hata kwa Sangoma, yote hayo ya nini.
Bado una makasiriko na hii ni nature ya wanawake wengi ,samahani sikuandami ila all in all potezea tu na hapakua na haja ya kuja kuyaanika hapa hili game linabadilika tu kama paredi kwa kitendo kimoja tu cha nyuma geuka. Shida hua zinamjenga mtu na kumpa ukomavu wa maisha na ndio mda anaoupitia x wako .
Je paredi ikigeuka utakua tayari kuja kutusimulia hapa unayopitia au ndio madawati ya ujinsia na ustawi wa jamii patahusika ukitadai usaidizi wa malezi? ( kama mlizaa pamoja).
 
Paredi ligeuke kwa sababu gani. Kwani nimemfanyia thulma yoyote. Mtu akuibie kwa maksudi itawezaje kisahau. Ndio nature ya binadamu.
 
Kwa hiyo hukuridhika kuachwa ukaamua umroge ili aanguke?
 
Kwa hiyo hukuridhika kuachwa ukaamua umroge ili aanguke?
Hahahah sasa umroge mtu kwa lipi sasa. Sina muda huo. Toka tulipooana na nikaondoka pale wale sikuwahi kwenda kwa mganga. Kaanguka kwa sababu zingine na Mungu ndio anajua kwa nini.
 
Kwa hiyo hukuridhika kuachwa ukaamua umroge ili aanguke?
Na sikuachwa , mimi ndio niliondoka. Na baadae alienda Bakwata eti bado ananipenda. Muda huo kesi ilikuwa mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…