Mrejesho: Manunuzi ya mtandaoni (ebay)

Kwenye manunuzi ya bidhaa kwa nji ya mnada (auction) kuwa makini coz waweza kuta bidhaa inauzwa usd0. 01 lakini shipping cost ni usd 98.
Unapotuma ela unaunganishiwa na shipping?
 
Mzigo Ulifika baada ya muda gan
 
Tatizo kufahamu hilo sasa.
 
Ukishaweka details za benk kuna ulazima wa kuijulisha benk husika?
 
Hakuna ulazima coz watajua tu wakati wa manunuzi..
Kwa uzoefu wako ukiweka accountvyenye hela nyingi haiwezi toke matapeli wakakomba au ndo hiyo kwamba ni vizuri mtu ukawa na acc special yenye hela kidogo ukilipa inaisha Mkuu
 
Kwa uzoefu wako ukiweka accountvyenye hela nyingi haiwezi toke matapeli wakakomba au ndo hiyo kwamba ni vizuri mtu ukawa na acc special yenye hela kidogo ukilipa inaisha Mkuu

Usipokuwa makini utaibiwa siyo ebay tu ata pale ubungo stand..
 
Usipokuwa makini utaibiwa siyo ebay tu ata pale ubungo stand..
Sasa mkuu naomba unisaidie jambo, pindi mtu anapojiunga na ebay kuna mahali panataka aweke street address na pengine panataka aweke postal code. Nijuze mkuu hapo inakuwaje?
 
Mkuu nina mzigo nimeagiza toka December nikapewa hiyo tracking number cha ajabu sijaupata naweza kuangaliaje nijue ulipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…