Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejiridhisha kila kitu kuwa ni girl mkuu
Hakikisha unapesaWanajf naomba mniombee safari yangu kwenda kisiwa cha Malta imekaribia baada ya kuhangaika hapa na pale kusaka visa nimefanikiwa ingawa ilikuwa na vikwazo vingi kutokana na Janga la corona.
Siku zinakaribia kuondoka kwenda kukutana na mrembo J lakini nikiwaza itakuwaje huko nchi za wengine kukutana na under 18 licha ya kuhakikishiwa usalama.
Maombi yenu ni muhimu.
Pia soma:Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane
Kama upo serious nikupe mawasiliano na rafiki yangu pale Prof University mojaWanajf naomba mniombee safari yangu kwenda kisiwa cha Malta imekaribia baada ya kuhangaika hapa na pale kusaka visa nimefanikiwa ingawa ilikuwa na vikwazo vingi kutokana na Janga la corona.
Siku zinakaribia kuondoka kwenda kukutana na mrembo J lakini nikiwaza itakuwaje huko nchi za wengine kukutana na under 18 licha ya kuhakikishiwa usalama.
Maombi yenu ni muhimu.
Pia soma:Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane
https://youtu.be/0TfLtRO_8KIWanajf naomba mniombee safari yangu kwenda kisiwa cha Malta imekaribia baada ya kuhangaika hapa na pale kusaka visa nimefanikiwa ingawa ilikuwa na vikwazo vingi kutokana na Janga la corona.
Siku zinakaribia kuondoka kwenda kukutana na mrembo J lakini nikiwaza itakuwaje huko nchi za wengine kukutana na under 18 licha ya kuhakikishiwa usalama.
Maombi yenu ni muhimu.
Pia soma:Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane
Malta ni 90 days Visa Free kwa watanzaniaMuhimu uwe na credit cards au cash ya kutosha
Wana maswali ya kukutega sana na kupata VISA sio kuingia kwenye nchi za watu
Ila kila la kheri
Malta ni pazuri na wako vizuri kiuchumiMalta ni 90 days Visa Free kwa watanzania