Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 408
Wasukuma kwa mbwembwe hata mm nina msukuma wangu, ukitembea nae mbona utakoma kila akimuona mtu anamfaham atasimama kumsalimia na kunitambulisha, huyu ndo shemeji yko yaan mpaka naboleka. Ila kwasasa namm nimemzoea tunaenda sawa nimekua na sifa kama zake
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app