Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi ulivyoandika bado watakuja wengi, hujawa specific unataka mtu wa aina gani
acha bana. 'sisi' tumemuelewa.
Unanipa pole ya nini?
Sawa binamu, unaogopa akiongeza vigezo utajikuta umetolewa kwenye kinyang'anyiro[emoji16][emoji16]acha bana. 'sisi' tumemuelewa.
Unasemaje?Nime ku prime minister.
Habari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
😍😍😍😍😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰Unasemaje?
haha, nilidhani nimeona peke yangu. Bahati mbaya hataki sisi wa fomu thirii bii.Mke huyu haya changamkieni fursa...
Nadhani ukisomeka line kwa line una-kitu ndani yako. Sema nilishapita hatua.
Hivi mtu akikuuliza una umri gani utasema nina miaka 27-30?Habari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kwa usiku mmoja sawa...haha, nilidhani nimeona peke yangu. Bahati mbaya hataki sisi wa fomu thirii bii.
Hivi we walikufanyaje kwani? Kila nikuonapo ni malalamiko tu
Haya sasa pompeo mungu kasikia manuniko yako yote kuanzia jana mpaka leo.nenda PM mkamalizane.
Umeni quote vibaya, problem ipo kwa wanaume wenyewe ndo mana nikaeleza vizuri kwamba kama huna elimu hiyo basi uwe mwanaume unayejiamini sana yani kigezo cha mke kukuzidi elimu kisiwe hoja kwako (nafikiri kuna mtu anaelewa) , yote hayo ni kuepusha migongano tu sina maana mbayahaha, nilidhani nimeona peke yangu. Bahati mbaya hataki sisi wa fomu thirii bii.
Huyo ni zaidi ya 30Samahani Tunaomba ututajie Umri wako Halisi Kama upo serious Ni PM.
Sent using Jamii Forums mobile app