Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Pale ulipopuuzia PM yangu tu nikajua bado hauko serious kutafuta mume.
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu akikuuliza una umri gani utasema nina miaka 27-30?

Urefu wa zaidi ya 150 ndio nini?

Unaidhalilisha taaluma yako.
 
haha, nilidhani nimeona peke yangu. Bahati mbaya hataki sisi wa fomu thirii bii.
Umeni quote vibaya, problem ipo kwa wanaume wenyewe ndo mana nikaeleza vizuri kwamba kama huna elimu hiyo basi uwe mwanaume unayejiamini sana yani kigezo cha mke kukuzidi elimu kisiwe hoja kwako (nafikiri kuna mtu anaelewa) , yote hayo ni kuepusha migongano tu sina maana mbaya



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom