Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sinyoi kiduku wala kuvaa mlegezo ( nipo very smart ).. Kadeti, chomekea shati kitu safi huyoooo zaidi ya hawa wanao shika hela za watu Benki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bwana acha maneno , weka CV alaaahFursa hii maana niko Dodoma pia
HapanaMimi ni great thinker, nimeweza kuelewa ulichomaanisha. Vigezo vingine vyote sina, Je naruhusiwa..?
Sina haja ya kuweka Cv inatakiwa aje pm kwangu am overqualified.Wewe bwana acha maneno , weka CV alaaah
Akikufata itaonekana yeye ndo mwenye shida..Sina haja ya kuweka Cv inatakiwa aje pm kwangu am overqualified.
Ongezea hiki kipengele [emoji1540][emoji1540][emoji1540]Kwenye post yako....usishangae ukiulizwa na size ya kiatu kama sio bust/waist/hip.
We unaonekana ni mke matirio ngoja nije pmUmeni quote vibaya, problem ipo kwa wanaume wenyewe ndo mana nikaeleza vizuri kwamba kama huna elimu hiyo basi uwe mwanaume unayejiamini sana yani kigezo cha mke kukuzidi elimu kisiwe hoja kwako (nafikiri kuna mtu anaelewa) , yote hayo ni kuepusha migongano tu sina maana mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ye ndo ametaka mume akija nampanga tu.Akikufata itaonekana yeye ndo mwenye shida..
Mwanamke kufuatwa bwanah wewe vipi
Haya njoo PM nakusubiriNitakuereza at your own interest
Don't make a promise you can't fulfill...
Utamkuta mwana sio wakoYe ndo ametaka mume akija nampanga tu.
sawa
Hahahah aseeeKila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sasa....mambo si mamboTehtehteh....kwani kaka yako anataka muke? Si kaoa yule