Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Anataka kuoa wa pili amaKitambo sasa....mambo si mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kuoa wa pili amaKitambo sasa....mambo si mambo
Mkuu wewe ni mlinzi kweli kama hawa tunaowajua au ni mlinzi special?1. Non Drinker
2. Non Smoker
3. Si Mtokaji sana ( Ingawa I sometimes rarely do it when i'm stressed )
4. Siyo Shabiki saaana wa mpira.
5. Elimu | Diploma | Kazi Mlinzi | Makazi Dar | Asili Butiama, Mara | Kabila Zanaki
6. Umri 30.
7. Umbo | Mwembamba | Mrefu Mweusi Kiasi | Lafudhi ya Kizanaki
NiPM | If Serious.
Mlinzi kweli Mkuu. Itabidi ubadilishe mtazamo kuhusu hao walinzi.Mkuu wewe ni mlinzi kweli kama hawa tunaowajua au ni mlinzi special?
Uandishi wako si wa hawa walinzi wetu.
~I moved your cheese! So what?~
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukinitunza kunenepa ni nje njeIla uniahidi kama utanenepa .
Unamaanisha ulipata pm zaidi ya hizo 15?, duh ,kila rakheri upate hitaji la moyo wako.Let's me try kama hata tokea nimebakiza 15View attachment 1397164
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikufata itaonekana yeye ndo mwenye shida..
Mwanamke kufuatwa bwanah wewe vipi
Sinyoi kiduku wala kuvaa mlegezo ( nipo very smart ).. Kadeti, chomekea shati kitu safi huyoooo zaidi ya hawa wanao shika hela za watu Benki.
Hajapuuzia mkuu, vuta subra kidogo anamalizia kusoma pm zote ,zimebaki 15 tuu, ila ni nyingi pm 15 [emoji848]Pale ulipopuuzia PM yangu tu nikajua bado hauko serious kutafuta mume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hapo sawa maana duuhh unalisha MTU weeeeeeee kunenepa hamna. Mwisho unaonekana kama unamtesa mtoto wawatu kumbe hamna !!
Sawa , Endelea kupitia pitia meseji za watu huko PM .
Khaaa huendi kokoteSawa , Endelea kupitia pitia meseji za watu huko PM .
Mie nifanye wa mwisho maana WA mwisho ndio mshindi...
Na achekaye mwishoni Ndio Hucheka sanaaaa.
Nyie bwanah..mtoa mada kasema mumtafute
Aaahh basi vema ,that's me .. tunaamini "Ukiwa smart, ukawa na tabasamu Taaamu, kuna mgonjwa mahali atajihisi kupona hata kabla hujamsikiliza"
Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom
Sent using Jamii Forums mobile app