Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahahaha Kigoma sindo mwisho wa Reli ?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Kigoma sindo mwisho wa Reli ?.
Mkuu wee ulivukisha ? Au zipo chini???Unamaanisha ulipata pm zaidi ya hizo 15?, duh ,kila rakheri upate hitaji la moyo wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi mabaharia huwa tunaulizia bust ili kujua size ya nyonyo.Ongezea hiki kipengele [emoji1540][emoji1540][emoji1540]Kwenye post yako....usishangae ukiulizwa na size ya kiatu kama sio bust/waist/hip.
Kila la kheri.
Umeoneee!! Niliwaza hivyo hivyo kwa sauti ya kunong'ona.Hapa ndipo unapotaka kukwama mdogo wangu.
Narudia kukunukuu "only great thinker will understand", yaani wewe kama GT utanielewa hapo kwanini ukwame kwa kuhitaji mume mwafrika ambae hatakiwi kuwa mtazamo wa kiafrika wakati amzaliwa na kulelewa na waafrika.
Zaidi ya 90% tabia na mitazamo yetu inakuwa ina shabihiana na malezi au mazingira tuliyokulia.
Dah..kwamba hujafika bado?Hahahaha Kigoma sindo mwisho wa Reli ?.
Nakuja PM kwa kasi ya mwanga!
Kunenepa si chakula tu kuna mambo mengi na kubwa zaidi ni kuishi kwa furahaHahaha hapo sawa maana duuhh unalisha MTU weeeeeeee kunenepa hamna. Mwisho unaonekana kama unamtesa mtoto wawatu kumbe hamna !!
Mkuu wewe huna vigezo tajwa katika mada?Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona ni nyingi sana 15?,mi huwa sipati kabisa[emoji3]Mkuu wee ulivukisha ? Au zipo chini???
Umemshauri vizuri sana. HongeraKama uliweka na bado umekosa mpaka sahivi my dia angalia na hao wa huko mtaani kwenu.
Check na Ex zako
Check na co workers
Kacheck pia na huko unakoenda kuamia "Dodoma
Check na wakanisani
Btw kila la kheri
Kunenepa si chakula tu kuna mambo mengi na kubwa zaidi ni kuishi kwa furaha
Unapata love, care and concern, kunenepa kutakuja automatically
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzi wake utasemaje? [emoji102]Akikufata itaonekana yeye ndo mwenye shida..
Mwanamke kufuatwa bwanah wewe vipi
Kabebe maji ya Lita 20 ya Bahari...kisha ukaoge katikati ya Soko lilokaribu naww..
Nimeshafika banaa hahaha
Hajasema mwenye uhitaji anyooshe mkono juu, ALAFU yeye atamPM.