Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Ongezea hiki kipengele [emoji1540][emoji1540][emoji1540]Kwenye post yako....usishangae ukiulizwa na size ya kiatu kama sio bust/waist/hip.
Kila la kheri.
Sisi mabaharia huwa tunaulizia bust ili kujua size ya nyonyo.

Na waist ili kujua kama ana "chura"

Over...
 
Hapa ndipo unapotaka kukwama mdogo wangu.
Narudia kukunukuu "only great thinker will understand", yaani wewe kama GT utanielewa hapo kwanini ukwame kwa kuhitaji mume mwafrika ambae hatakiwi kuwa mtazamo wa kiafrika wakati amzaliwa na kulelewa na waafrika.

Zaidi ya 90% tabia na mitazamo yetu inakuwa ina shabihiana na malezi au mazingira tuliyokulia.
Umeoneee!! Niliwaza hivyo hivyo kwa sauti ya kunong'ona.

Hawa ndiyo wanaiga uzungu kwa kutembea na bichikoma mtaani kwa kisingizio cha kwenda na wakati kipimo kikiwa kiwango chake cha elimu.

La kushangaza ni kwamba, umeshindwa ku-identify mume physically huko unakotembea; badala yake unatuma maombi mtandaoni halafu uje uchague kwa usaili wa maandishi na utegemee kumpata wa vigezo vyako. Halafu vetting utafanya kwa muda gani? Au vigezo tu vinatosha?
Huko ni kubahatisha.

Hata hivyo nakutakia kila la kheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la kheri mkuu, ikiwa itamoendeza Mungu akupe wepesi kwa hitaji la moyo wako.
Karibu sana Dodoma, kama haujapata nyumba usihofu kunisemesha.
Kuna nyumba inapangishwa, ipo umbali wa dakika 3 hadi kituo cha daladala, imezungushiwa ukuta na geti, ina mpangaji wa kushare nae (mtakuwa wapangaji wawili), nyumba ipo Nkuhungu karibu na St. Home school.
Karibu tena hapa Dom

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe huna vigezo tajwa katika mada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwenzako alichagua sana matokeo yake alipoangukia mpaka leo anajuta kuwa mchaguzi. Mimi nipo Dodoma ila sio Mkristu na hata ukinipenda tutaenda kuoana kimila sitaki mambo ya imani ya dini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifaa zote ninazo ila moja sina 'sishauriki' je naruhusiwa kuja pm?
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom