Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] sahivi nahitaji yeyote ili mradi awe Me, sisi wote ni mfano wa Mungu, umenifurahisha eti kama mlango wa kuingia uzimani[emoji3][emoji3] Jf sitoki ng'oooTatizo unaweka vigezo vigumu mkuu utadhani ni mlango wa kuingia uzimani!! Khaa [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani komenti hii huwa imekukaa kichwani Mkuu.vigezo vingi sana,pengine labda umuumbe wa kwako ndio atafit condition zako zote hizo.
kwa sababu hata malaika hana hizo sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah Tayari nna 4 kids mkuu,so ushanikosa kwenye hilo.Hahahahhaa wewe Mkuu hujitakii mema... Unajua utashindwa hata kua na mtoto???.
Nimekupenda bure Carlos, it seems ni mwelewa sana, natamani nikupe hii nafasi [emoji7]Nadhani komenti hii huwa imekukaa kichwani Mkuu.
Mbona hamna Mashariti hapo, tena anajitahidi kubalanc sana kwa wenye Elimu..wasio na Elimu........ Pombe Sigara ,ulevi NI HATARI KWA AFYA YAKO.
na wanawake wengi wanapenda wawe ma WATU wasokua wanywaji, wavutaji
Ivi anaanzaje kukupa busu zito kama mdomo unanuka Gongo /Bia /Sigara???
Ila aiseee wanawake waliolewa nahao WATU juu, wanavumilia Mengi sana.
Anaye tangu siku nyingi. Hiyo hekima kuna waliotangulia kuingundua mapema wakaitwaa.Nimekupenda bure Carlos, it seems ni mwelewa sana, natamani nikupe hii nafasi [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Carlos haya ya kweli??Anaye tangu siku nyingi. Hiyo hekima kuna waliotangulia kuingundua mapema wakaitwaa.
Jina jema hung'aa gizani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu, nikimpeleka pale kwenye nyumba nina uhakika wa kupata walau elfu mia moja
Kila rakheri mkuu,afu ni wife material huyo, just hope utaenjoy duniani na akhera[emoji3]
1. Non Drinker
2. Non Smoker
3. Si Mtokaji sana ( Ingawa I sometimes rarely do it when i'm stressed )
4. Siyo Shabiki saaana wa mpira.
5. Elimu | Diploma | Kazi Mlinzi | Makazi Dar | Asili Butiama, Mara | Kabila Zanaki
6. Umri 30.
7. Umbo | Mwembamba | Mrefu Mweusi Kiasi | Lafudhi ya Kizanaki
NiPM | If Serious.
Zamani tulikuwa tunatafuta kwa kutumia nini ?
Hajapuuzia mkuu, vuta subra kidogo anamalizia kusoma pm zote ,zimebaki 15 tuu, ila ni nyingi pm 15 [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko pm natuma CV au naanza na salamu tu mengine baadae[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lady Your wish is my Order just command me .Nimekupenda bure Carlos, it seems ni mwelewa sana, natamani nikupe hii nafasi [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app