Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Huu uchizi wako....usije kuutafutia dawa...
Basi sawa...
IMG-20200322-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushauri kamata serengeti boy ila sio type ya Kina brown... Fanya nae maisha. Huku mtaani kwetu kuna wamama kama wa4 watu wazima waishi na vijana zaidi ya miaka 10 sasa , Sio wote tutaolewa na Agemate
Ukishindwa kabisa Weka hofu ya Mungu pembeni tafuta ndele
Mmmh, wewe sio wakuchezea ,inaonekana upo vizuri kwenye kupuliza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke skia ,tafuta mwanaume maeneo hayo ulipo ,inama upigwe mashine ,pata mimba zaaa Lea mutoto yako saaaafi kabisa ,humu utakuja mwisho wa siku kupata kansa ya ubongo bure ,hakuna muoaji .
Zingatia Hilo mda unakwenda .ohoooo!!!? We zurura humu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushauri kamata serengeti boy ila sio type ya Kina brown... Fanya nae maisha. Huku mtaani kwetu kuna wamama kama wa4 watu wazima waishi na vijana zaidi ya miaka 10 sasa , Sio wote tutaolewa na Agemate
Ukishindwa kabisa Weka hofu ya Mungu pembeni tafuta ndele

Mmh huu ushauri konki kweli kweli..aisee kumbe kuolewa ni lazima!
 
Yani huko unapofanya kazi na unapoishi usmekosa wote,, humu hauwez kupata mwanaume,,, harfu wakti mna miaka 25 huwa mnaringa Sana ikifika 30 mnaanza kutia huruma,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom