Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app


Wakati mwingine ni vyema kujitahimini and learn from mistakes kuliko ku push tu, pengine una ya kurekebisha;
 
Umeeleweka,wengi naonaga wako kimasihara ila nimesoma uzi wako nahisi una kitu fulani.....
Anyway, kuna sifa kubwa sina hapo la sivyo ungenikuta pm huko


Alexander The Great
 
Dada usiwe desperate sana kutafuta mume!! Najua pengine wenzio wote uliosoma nao wameshaolewa isiwe sababu ya kufosi hivi
Muda ukifika hata ukiwa na 33 mr right will come
Kwa sasa ishi maisha yako jipe furaha ile uitakayo halafu ili jambo lipe muda kwanza
 
Dada usiwe desperate sana kutafuta mume!! Najua pengine wenzio wote uliosoma nao wameshaolewa isiwe sababu ya kufosi hivi
Muda ukifika hata ukiwa na 33 mr right will come
Kwa sasa ishi maisha yako jipe furaha ile uitakayo halafu ili jambo lipe muda kwanza
Vipi akishafika 33 na hajaona? Hapo ataruhusiwa kuwa desperate? Ushauri huu umamfaa iwapo tu amejiandaa kwa matokeo yote mawili...kupata au kukosa. Kama ndio wale wanaoamini kwa vyovyote vile ni lazima aolewe acha tu atafute mapema, akiibuka na furushi atapambana nalo mbele ya safari hitaji lake litakuwa limetimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ya vyeti darasa saba.ila elimu ya mtaani chuo kikuu.nakunywa pombe ila sio mlevi.sivuti sigara wala bangi.ni mfupi maji ya kunde.karibu pn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
huu mwandiko mbona wa kiume jamani
 
Nadhani komenti hii huwa imekukaa kichwani Mkuu.


Mbona hamna Mashariti hapo, tena anajitahidi kubalanc sana kwa wenye Elimu..wasio na Elimu........ Pombe Sigara ,ulevi NI HATARI KWA AFYA YAKO.


na wanawake wengi wanapenda wawe ma WATU wasokua wanywaji, wavutaji


Ivi anaanzaje kukupa busu zito kama mdomo unanuka Gongo /Bia /Sigara???



Ila aiseee wanawake waliolewa nahao WATU juu, wanavumilia Mengi sana.
ila ujumbe alishaupata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sifa hujaweka hapo zina mantiki sana hujataja unataka mwenye Kibamia au lah!
 
Back
Top Bottom