Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Pole sana dada. Tatizo kubwa kiupande wako kwa stage uliyonayo sasa ni dini yako. Ungelikua Muislamu au upo tayari kuolewa na Muislamu naamini tayari ungelikua ushapata mtu,
Waisilamu ni wepesi wakuoa. Na kubwa zaidi wanaweza kuoa zaidi ya mke mmoja. Nahili ndio litakua advantage kiupande wako.
Mana kiuhalisia kwa mazingira kama yako career oriented women munakua wagumu sana kwenye ndoa. Hamupo tayari kuwa chini au kutumia mda wako mwingi kwa ajili ya mume. Na wanaume wengi bila ya kupata mke anaetumia mda mwingi kwa ajili yake wenyewe wanaita (wife material) basi haridhiki.
Sasa ukipata mwanaume mwenye mke mwengine maana yake huyo mwenza wako atakupunguzia mzigo (majukumu ya ndoa) naweye utajipunguzia mzigo. Hapo sasa utaweza kubalance vizuri shughuli zako za kazi na familia yako.

Kwa ushauri wa ziada, ukihisi mambo bado yanakua magumu, hicho kipengele cha dini ningekushauri kiengue, italeta wepesi mkubwa kwako.
Mkuu Nasu nakusihi Sana fuata ushauri huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajasema lazima aanzie levo ya chuo, amesema chini ya hapo anatakiwa awe anajiamini, hataki mambo mmekosana tu kidogo anakimbilia kusema 'unanidharau kwa sababu sijasoma' ....kosa la kibinadamu tu ambalo hata asiyejua kusoma na kuandika anaweza kukosea

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni changamoto,
Naona ameogopa kusema " chini ya hapo awe na PESA zaidi yangu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama bado ina elasticity ya kufinyia kwa ndani, naomba ni pm, hiyo ndio option iliyobaki kwangu, nimetafuta bikra mpaka nimechoka.
 
Me sijakuelewa kwa hiyo hizo pm nyingi ulizopata bado ulikosa.
Labda ungesema waliokuja walikuja huku wakijua fika vigezo hawana au ulikutana na nini?
Ye anafanya interview kwa kuangalia mwandiko, badala shughuli ya kitandani.
 
Niwewe hapo maana kuna comment yako moja ilimvutia sana. Ila usimtende mkuu maana hata mimi nimempenda ila nafasi ameamua kukupatia wewe. Ila mdada anaonesha nimuelewa sana naakipata muelewa kama yeye itakuwa vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio Mimi Mkuu... Kama umemuelewa vzuri just go, kutoa namba kwa MTU mmoja, Ila Bado atatoa namba ili mradi tu uwe na Interest ya kweli na dhati.


Naapa kabisa,sio mimi.. Mimi wangu hajazaliwa
 
Mtaani kwako unawaona lakini hujawapenda
Kazini kwako unawaona lakini hujapata vigezo
Sehem za ibada uko nao lakini hujakubali imani yao
Ulikozaliwa unawajua lakini hawakutoshi
Matembezini unakutana nao lakini hawakufai

Huku online huwaoni ndio watakufaa? Jaribu kufikiria sehem hizo kama hujapata basi hata mtandao hutapata wa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi wewe ulishapata? Maana kama unaniona kwenye nyuzi hizi maana yake na wewe pia hupitwi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hua nasoma kimya kimya

I can feel the pain

Mi nilishaoa more than 5 years now....

Ila nina mdogo wangu wa kike anaenifuata,aisee I can feel her pain aisee!

I wish apate mtu wapambane...

Its really depressing,namuona hana raha kabisa,kwavile ni sibling wangu najikuta na mimi inaniuma!

Such a bad period hasa kwa ladies!
 
Kila la kheri, mola akisaidie umpate mwanaume wa maisha yako.
 
Back
Top Bottom