Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Tatizo lenu nyie wanawake mnazingua sana na mara nyingi mnaweka haya matangazo kama utani tu na kuwachora watu, inshort shetani iwasamehe tu kwa hii michezo yenu.
 
Otherwise labda kama unadanganya but kwa elimu na kazi uliyo nayo na unasema unamtaka mtu samart na Intelligent ( kwa nilivo tafsiri baada ya kusoma andiko lako) najua kabisa lazma na wewe utakuwa hivo au Zaidi ya hapo.

haiwezekani hata siku moja ukaja kutafta humu mwanaume kwa sifa ulizoorodhesha, wenye sifa hizo washaolewa na ungechangamkiwa kama dhahabu huko mtaani,kanisani na kazini unakofanyia.

humu utapigwa miti, Unatumia ID feki unakutana na mtu ID feki unataka uingie nae kwenye mahusiano serious ya Maisha...
wewe utakuwa hauko serious na huo userious
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema PM ngingine umeshindwa kuzifungua , what if hizo ambazo hukufungua ndipo lilipo chaguo lako, usitupotezee muda! PERIOD
 
Hapana ,usihitimishe kwa kumuogopesha , hitimisha kwa kumpa Uangalifu ya kwamba anahitajika kua makini.

Hawa wanawake , niviumbe wenye upendo sana, na wanapoamua kufanya maamuzi huwa wameamua kweli kweli, huyu unayemuona, nikweli kabisa yuko katika hitaji LA Ndoa, na kwasababu imani yake nikumpata Mume ,na kwakuzingatia a nahisi mahali popote mume anapatikana ,ndomaana wanaamua kuja huku.


Kinachowaponza, nipale wanapokutana na wanaume wakwele, wanaume wasokua na nia ya kuoa, wanaamua kutumia Nafasi kama Fursa kwao..

Ingekua hawaangushwi na jamaa za humu basi JF km mitandao mingine ingehesabika km sehem nzuri ya watu kukutana na wenzi wao.
Otherwise labda kama unadanganya but kwa elimu na kazi uliyo nayo na unasema unamtaka mtu samart na Intelligent ( kwa nilivo tafsiri baada ya kusoma andiko lako) najua kabisa lazma na wewe utakuwa hivo au Zaidi ya hapo.

haiwezekani hata siku moja ukaja kutafta humu mwanaume kwa sifa ulizoorodhesha, wenye sifa hizo washaolewa na ungechangamkiwa kama dhahabu huko mtaani,kanisani na kazini unakofanyia.

humu utapigwa miti, Unatumia ID feki unakutana na mtu ID feki unataka uingie nae kwenye mahusiano serious ya Maisha...
wewe utakuwa hauko serious na huo userious
Huyu mwanamke ni very smart, intelligent , na kaandika ktk mantiki ya u hitaji, hajaonyesha kujidai, wala maringo wala kutokua na masiala.

Na kwa kuzingatia Kanda alotokea , nachoweza kukuhakikishia huyu mwanamke Anajitambua na anajua MTU gan anayemfaa si kwa sababu ya kuchelewa Bali kwasababu anajua ni MTU wakushea naye maisha....na kwaivo suala la Uchaguzi ilikua ni lazima Alizingatie sana.




"What is yours will always be yours no matter what "
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu atakupa unachostahili, siyo unachoomba.

Usipoangukia kwa Baharia wa Kanda ya Ziwa; utaangukia kwa Baharia wa Dodoma a.k.a Zero IQ

Karibu Pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm
 
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm

Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.

Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana

Naomba mtuombee tu na kututakia mema

Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote

#Pm imefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah, ninemiss hii fursa kila la heri, acha nisubirie mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app

Sina izo sifa zote apo juu kasoro moja tu ndo nnayo..sina mitazamo ya kiafrica..naeza nikakupa kampan kipindi iki upo unatafuta mwenza..nipm tupo mkoa mmoja


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom