Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Hua nasoma kimya kimya

I can feel the pain

Mi nilishaoa more than 5 years now....

Ila nina mdogo wangu wa kike anaenifuata,aisee I can feel her pain aisee!

I wish apate mtu wapambane...

Its really depressing,namuona hana raha kabisa,kwavile no sibling wangu najikuta na mimi inaniuma!

Such a bad period hasa kwa ladies!
Katika maisha kuna vipaumbele, mimi kwa sasa hicho sio kipaumbele changu kwa hiyo hainipi shida kama hiyo unayoielezea. Jibu lile la kwanza nimekujibu unachotaka kusikia....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm

Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.

Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana

Naomba mtuombee tu na kututakia mema

Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote

#Pm imefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera.
Mwwnyezi Mungu awasaidie mfikie malengo yenu.
All the best dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaani kwenu umekosa mpaka uje hapa ambapo hujui hata sura ya mtu? We kweli umedoda hata huko unakofanya kazi, unakopanga, uliosoma nao, waliokuwa wanakutangulia vidato kote huko umekosa? Hili ni balaa kubwa. Huna mashangazi, ma mdogo au jamaa wengine wakakuunganisha na vijana wanaowajua wametulia? Zamani Dada zetu walikuwa wanaolewa kwa namna hii. Vijana wako sema yawezekana una tabia zisizostahimilika. Ndo maana ukaja kujitangaza hapa jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaani kwenu umekosa mpaka uje hapa ambapo hujui hata sura ya mtu? We kweli umedoda hata huko unakofanya kazi, unakopanga, uliosoma nao, waliokuwa wanakutangulia vidato kote huko umekosa? Hili ni balaa kubwa. Huna mashangazi, ma mdogo au jamaa wengine wakakuunganisha na vijana wanaowajua wametulia? Zamani Dada zetu walikuwa wanaolewa kwa namna hii. Vijana wako sema yawezekana una tabia zisizostahimilika. Ndo maana ukaja kujitangaza hapa jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee umesahau ana vigezo, ukiona hivyo huko hajapata wa vigezo vyake!?

Vipi kama anawapata lakini sio serious, vipi kama anawaona lakini wao hawavutiki nae.

Ingekuwa sagula sagula mtumba labda saa hizi hata wewe ungekuwa ushapata!

Dada yangu kila kitu na wakati, wakati wako ukifika utapata, ongeza ibada tu, mola akuoe stahiki yako.
 
Mzee umesahau ana vigezo, ukiona hivyo huko hajapata wa vigezo vyake!?

Vipi kama anawapata lakini sio serious, vipi kama anawaona lakini wao hawavutiki nae.

Ingekuwa sagula sagula mtumba labda saa hizi hata wewe ungekuwa ushapata!

Dada yangu kila kitu na wakati, wakati wako ukifika utapata, ongeza ibada tu, mola akuoe stahiki yako.
Hakika.
Nimekupenda bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom