Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Khantwe wa mjini uweke tangazo wewe?
Subutuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika maisha kuna vipaumbele, mimi kwa sasa hicho sio kipaumbele changu kwa hiyo hainipi shida kama hiyo unayoielezea. Jibu lile la kwanza nimekujibu unachotaka kusikia....Hua nasoma kimya kimya
I can feel the pain
Mi nilishaoa more than 5 years now....
Ila nina mdogo wangu wa kike anaenifuata,aisee I can feel her pain aisee!
I wish apate mtu wapambane...
Its really depressing,namuona hana raha kabisa,kwavile no sibling wangu najikuta na mimi inaniuma!
Such a bad period hasa kwa ladies!
Kama unaona siwezi kuweka kwa nini unanishauri niweke?Khantwe wa mjini uweke tangazo wewe?
Subutuuu
Katika maisha kuna vipaumbele, mimi kwa sasa hicho sio kipaumbele changu kwa hiyo hainipi shida kama hiyo unayoielezea. Jibu lile la kwanza nimekujibu unachotaka kusikia....
Sent using Jamii Forums mobile app
As I said, it's a matter of choices. Mimi sio huyo dada yako na wala yeye sio mimiUna ahirisha matatizo eee?
Be careful
Dada yangu alikua hivyo hivyo,sasa hivi naona inakua worse!
As I said, it's a matter of choices. Mimi sio huyo dada yako na wala yeye sio mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unanichukuliaje, mimi ni wa shamba kabisa hapa mjini sijamaliza hata muongo mmoja tangu nilipokuja na mbio za mwengeNi ushauri tu,kuku encourage uweke,u-born town usikuzuie!
Sijui unanichukuliaje, mimi ni wa shamba kabisa hapa mjini sijamaliza hata muongo mmoja tangu nilipokuja na mbio za mwenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa naona umeamua kunitafuta maneno leo, haya umeshinda wewe bwanaUnavyoongea dada....
Huyo anaongea na wewe ndio ataishiwa maneno yeye apende asipende!
Nakupendea majibu bana,kama wa shamba unaweza toka patupu!
Hahahaa
Hongera.Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm
Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.
Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana
Naomba mtuombee tu na kututakia mema
Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote
#Pm imefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani kwenu umekosa mpaka uje hapa ambapo hujui hata sura ya mtu? We kweli umedoda hata huko unakofanya kazi, unakopanga, uliosoma nao, waliokuwa wanakutangulia vidato kote huko umekosa? Hili ni balaa kubwa. Huna mashangazi, ma mdogo au jamaa wengine wakakuunganisha na vijana wanaowajua wametulia? Zamani Dada zetu walikuwa wanaolewa kwa namna hii. Vijana wako sema yawezekana una tabia zisizostahimilika. Ndo maana ukaja kujitangaza hapa jukwaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika.Mzee umesahau ana vigezo, ukiona hivyo huko hajapata wa vigezo vyake!?
Vipi kama anawapata lakini sio serious, vipi kama anawaona lakini wao hawavutiki nae.
Ingekuwa sagula sagula mtumba labda saa hizi hata wewe ungekuwa ushapata!
Dada yangu kila kitu na wakati, wakati wako ukifika utapata, ongeza ibada tu, mola akuoe stahiki yako.