Mkuu hizi mm siziwezi kwenye hizi biashara mm sijui chochote ni tofauti sana na biashara ya karanga mkuu hii biashara ukielezewa ni kama ya kupata utajiri wa haraka ila tatizo wanao tangaza awana mafanikio sasa sijui kwann ila nashukuru kwa ushauriNjoo bitcoin jaribu ata kwa mtaji mdogo tu then utakuja kua shuhuda kwa wenzako pia nitafute wasapu no 0766055606
Umemjibu vizuri...kifupi hayo mambo ni utapeli tuMkuu hizi mm siziwezi kwenye hizi biashara mm sijui chochote ni tofauti sana na biashara ya karanga mkuu hii biashara ukielezewa ni kama ya kupata utajiri wa haraka ila tatizo wanao tangaza awana mafanikio sasa sijui kwann ila nashukuru kwa ushauri
Mkuu asante kwa ushauri wako hii biashara nimeshajaribu kufanya uchunguzi niliwatafuta watu wanao uza samaki ni nzuri ila changamoto kubwa sana ningekuwa nafanya mm ningekomaa ila kwa kumpa mtu ni ngumu sana kufanyaDaah uza samaki waziwani itapendeza zaidi
Naomba ufafanuzi hapa chifuMkuu Kama upo Dar tengeneza Toroli kubwa la maji...kwa laki na 20 kisha uwe unalikodi....Bei ya Kukodisha ni 5000/= kwa siku! Kama una laki 2 na hamsini tengeneza mawili uwe unapata 10.000/= kwa siku.....Mwisho wa mwezi una 300.000/= hapo utaweza kujikwamua mkuu
Ili toroli kwa dar unalikodisha wapiMkuu Kama upo Dar tengeneza Toroli kubwa la maji...kwa laki na 20 kisha uwe unalikodi....Bei ya Kukodisha ni 5000/= kwa siku! Kama una laki 2 na hamsini tengeneza mawili uwe unapata 10.000/= kwa siku.....Mwisho wa mwezi una 300.000/= hapo utaweza kujikwamua mkuu
Akikupa ufafanuzi nitagNaomba ufafanuzi hapa chifu
[emoji106] Good ideaUza matunda
Nunua vikapu viwili
Sahani zako za take away Pack matunda yako vizuri nenda mitaa ya makoroboi madukani sambaza matunda yako huko watu ni wengi lazima uuze
Nenda makoroboi au Lango lango nunua nguo za mitumba nzuri zikiwemo za watoto na wanawake kwa wingi weka kwenye Begi anza kutembeza hasa maeneo ya vyuo na kwenye taasisi, ingia mpaka maofisini, ukishanunua nguo inyooshe ili iwe na muonekano mzuri, kwa siku hukosi faida ya 10000/=kwa maana kwamba hapo utakuwa umeuza nguo 2~5 tu.Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipa afya tele, wakuu niingie kwenye mada moja kwa moja tarehe 6 mwenzi 12 mwaka jana niliomba ushauri nifanye nini niweze kuongeza kipato changu.
Kwenye ule uzi nilieleza mambo mengi sana nashukuru na watu walinishauri vizuri sana baada ya ushauri wenu nilianza kwanza kuwa na nidhamu ya pesa kwa kweli nimefanikiwa paka leo nimepata 200,000.
Sasa hii pesa natamani nikapange ili niweze kuhama pale kwa bosi wangu ila naona kama nikipanga na kuhama pale kwa bosi wangu siyo uwamuzi mzuri sana sasa wakuu naomba msaada wenu kwa hii 200,000.
Nifanye biashara gani ambayo ata kwa siku niweze kupata faida ata 5000 tu ambayo paka mwenzi hata wa tatu niwe nimeongeza kitu kidogo ili siku nikiwa taka kuondoka kwa bosi wangu niwe na mwanga wa kutosha.
Nitashukuru kama mtanipa ushauri mwengine
Mkuu nimekuelewa nakushukuruNenda makoroboi au Lango lango nunua nguo za mitumba nzuri zikiwemo za watoto na wanawake kwa wingi weka kwenye Begi anza kutembeza hasa maeneo ya vyuo na kwenye taasisi, ingia mpaka maofisini, ukishanunua nguo inyooshe ili iwe na muonekano mzuri, kwa siku hukosi faida ya 10000/=kwa maana kwamba hapo utakuwa umeuza nguo 2~5 tu.
Mkuu kwa huo mtaji utatosha kweli mkuu
Toroli hilo unalikodisha wapi? Hasa huku kwetu bomoabomoa imepita shughuli nyingi zimeathirikaMkuu Kama upo Dar tengeneza Toroli kubwa la maji...kwa laki na 20 kisha uwe unalikodi....Bei ya Kukodisha ni 5000/= kwa siku! Kama una laki 2 na hamsini tengeneza mawili uwe unapata 10.000/= kwa siku.....Mwisho wa mwezi una 300.000/= hapo utaweza kujikwamua mkuu
Hii sishauri sana sababu biashara mpaka ije kuzoeleka! Na hako kamtaji kalivyo kadogo utafika kweli? Bora ufanye biashara ya kutembeza lakini utoe aibuYeah utatosha kwa ssb wengi kwa mwz wanalipa eneo 3000/5000 per day so jaribu ukipata eneo wala sio ghali
Itabidi uwe mzoefu wa kilenga nguo nzuri wakiona hawaziachi, ukumbuke upatikanaji wa fedha kwa sasa si kama miaka iliyopita, ni vizuri kufanya biashara yenye mahitaji ya kimsingi zaidiMkuu nimekuelewa nakushukuru