Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Subiri siku moja atakwambia shule ulienda kusomea ujinga!!!!usicheke...ndio shem wako huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri siku moja atakwambia shule ulienda kusomea ujinga!!!!usicheke...ndio shem wako huyo
hahahaha ngoja aje ahahaha ntachezea kichambo mpaka[emoji122] [emoji122] [emoji122] hongera
hahahaKumbe wewe ni 'Ke'?
Huyu F anajua kama kuna mwanaume unamuona ana maajabu?Juz nilipost kutafta mwenza wangu, Namshkuru Mungu nimepata na mambo yanaenda vizur sana....thanks kwa wote waliotoa ushirikiano...Nakupenda "F" na karibu kweny maisha yangu
ahaaaaa........mwafwaaaaaf for faiza foxy hahaha uwii nafwa
Usubiri basi yale mambo usifanye kwanza mpaka mfunge ndoa kabisa.Juz nilipost kutafta mwenza wangu, Namshkuru Mungu nimepata na mambo yanaenda vizur sana....thanks kwa wote waliotoa ushirikiano...Nakupenda "F" na karibu kweny maisha yangu
Kabisa. Lkn siku hizi kaounguza ukalihahahaha ngoja aje ahahaha ntachezea kichambo mpaka
Juz nilipost kutafta mwenza wangu, Namshkuru Mungu nimepata na mambo yanaenda vizur sana..
Thanks kwa wote waliotoa ushirikiano...
Nakupenda "F" na karibu kwenye maisha yangu..
Huyu mtoa mada ni SHEMALE.Huyu F anajua kama kuna mwanaume unamuona ana maajabu?
Maajabu ya mwanaume niliyenae
Amen thanksHongera sana...mhimu ni kuvumiliana, kupeana muda pamoja na kusikilizana!! Amani iwe nanyi.
Mie mwana dada pia soo ni shem wakio[emoji178][emoji307]hahaha wifi bhana mi mwanamama
Yes...Ndio tunaanza safar yetu.ya mapendoila na wewe magumashi juzi tu leo unasema umepata hahaha
We have just started....Although it feels right[emoji7]Hongera sana. Bila shaka F atakuwa furaha yako nawe utakuwa furaha yake. Ni jambo la heri mtu kumpata mtu amfaaye.
naniAkija mwingine nipostie
hapana ni kijana tuuHuyo faiza foxy nilisikia anakaribia 60yrs
yesKumbe wewe ni 'Ke'?
ni.mzuri sana...hongerahahaha View attachment 489149mi wa kushoto hapo
Ahsante kwa kunipanga, namfuata pm nina shida na shemales.Huyu mtoa mada ni SHEMALE.