Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Bahati njema mkuu.Ahsante kwa kunipanga, namfuata pm nina shida na shemales.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati njema mkuu.Ahsante kwa kunipanga, namfuata pm nina shida na shemales.
ndio anajua hilo fikaHuyu F anajua kama kuna mwanaume unamuona ana maajabu?
Maajabu ya mwanaume niliyenae
haswaaaaUsubiri basi yale mambo usifanye kwanza mpaka mfunge ndoa kabisa.
kweli ee.... basi tuombe MunguMapema sana ungesubiri kamuda kaende mana humu hakuaminiki wengi wanaleta mirejesho ya kupata mwisho wanalalamika yamewashinda
Nakushauri olewa na huyu mpya, kama anajua na amekubali kubaki. Unless kama analeta za kimarioo.ndio anajua hilo fika
teh kama jovitha hataki kabisa kumsikia isaacMapema sana ungesubiri kamuda kaende mana humu hakuaminiki wengi wanaleta mirejesho ya kupata mwisho wanalalamika yamewashinda
Umeonaee! Mana hakuchukua hata muda tayari mrejesho wamesha shindwanateh kama jovitha hataki kabisa kumsikia isaac
Na si vyema kuleta mrejesho mwanzo wa mahusiano labda kama kakulazimisha umtangaze.kweli ee.... basi tuombe Mungu
hahhahahUmeonaee! Mana hakuchukua hata muda tayari mrejesho wamesha shindwana
Ila ndio hivyo lakini kutafuta mwenza mitandaoni kwa asilimia kubwa ni kutia mkono kizanihahhahah
kweli kabisa inabidi ujitoe muhanga haswa sema ktk 10 ni wa moja au wawili wanafanikiwa kupata wenza walio sahihiIla ndio hivyo lakini kutafuta mwenza mitandaoni kwa asilimia kubwa ni kutia mkono kizani
Maneno ya mjini wanasema walio wengi "wanaliwa na kuachwa"kweli kabisa inabidi ujitoe muhanga haswa sema ktk 10 ni wa moja au wawili wanafanikiwa kupata wenza walio sahihi
Usiniambie kumbe ndio ipo hivyoManeno ya mjini wanasema walio wengi "wanaliwa na kuachwa"
Hahahaaaaa!Usiniambie kumbe ndio ipo hivyo
Ila ndio hivyo lakini kutafuta mwenza mitandaoni kwa asilimia kubwa ni kutia mkono kizani
thanks booJovitha for Isaac(J for I)
memez for F(M for F)
[emoji1][emoji1][emoji1]
Best luck for the new couple bebe memez
Tunazidi kusubiri mrejesho