Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Amin! Ahsante sana dadaa πͺPole sana mkuu
Mungu akutie nguvu upone haraka.
Nimepata unafuu sasa πππ sio kama ilivyokua hata simu sikuweza kuishika...Sasa makodinda makostaminaπͺSo bado unaumwa ila ndiyo upo online au siyo
Shukrani sana kaka! Nimeshapoa sasaπͺGari ikichoka lazima ifanyiwe service, isipofanyiwa service kwa wakati litakuzimikia barabarani; ni hivyo hivyo ata kwenye mwili wa binadamu usipopelekwa gereji (hospitali) utaleta matatizo.
Ugua pole
Ahsante mkuu! Nashukuru nimepoa sasaπͺTupo pamoja mkuu, endelea kurecover taratibu na urudi kwenye majukumu yako ya kila siku.
Ndio! Nashukuru mungu sasa naendelea vizuri...Ahsante sana nimeshapoaπͺPole kumbe ulikua waumwa Mungu akufanyie wepesi
HahahaaHyo picha ni wewe??mtoto mzuri hivo unaumwa? Polee.ngoja nije pm nina dawa
Anazingua tuh! Hakuna mtoto hapaπππHahahaa
Amin! Nashukuru nimepoa sasaπͺAsante kwa appreciation mkuu
Mwenyezi Mungu aendelee kupigania afya yako kaka
NiceAmin! Nashukuru nimepoa sasa[emoji123]
[emoji41][emoji16][emoji16][emoji16]Anazingua tuh! Hakuna mtoto hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona chuma hicho mkuu?[emoji41][emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe huku kuna vyombo eeh@Miss Natafuta your missing
Sio mtoto tu.mtoto mzuriiiiAnazingua tuh! Hakuna mtoto hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Usiseme mtoto mzuri bwana π π mwanaume ni mtanashati hatukui wazuri ππ wazuri ni nyinyi warembo ambapo ni mauwa yetu kwenye nafsi zetuπππSio mtoto tu.mtoto mzuriiii
Nilishikwa na ulcers ghafla nikalazwa sababu sikuwahi kuumwa huu ugojwa hivyo ulinipelekesha sana..Ugonjwa wa ghafla ndio upi!!?