political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
Mimi ni miongoni mwa watu wanaojaribu vitu vingi sana, Naamini katika so called risk taking.
Kuna mwana Jamii Forums humu alikuja na wazo, nilipoliangalia nikaona kama linawork, nikampigia simu akanipa ushirikiano nzuri sana( hakuwa tapeli kabisa nashuhudia hili hapa wazi wazi, he was a humble youth).
Biashara yenyewe ilikuwa ifanyike mkoani, sitaki kuitaja Kwa sababu mpaka sasa hata yeye hajui ID yangu hapa Jamii Forums.
Nilisafiri tukaanza biashara tulifanya vyema kama inavyotakiwa ingawa Niko busy sana nilikuwa namuachia.
Kwa ufupi niliingiza TSH 2,850,000 mpaka mwisho wa project nikipata jumla 520,000. Nilikula hasara kubwa mno.
Faida niliyopata ni shule, nikipata shule kubwa yapo mambo sitarudia kufanya, lakini yapo nitarudia kufanya ila Kwa umakini mkubwa sana.
Huyu kijana hakunitapeli ila tu basi biashara isikie hivi hivi, inalipa ikiwa inaadithiwa, ukiibgia ground unakutana na mengine kabisa ambayo hayakuwa kwenye hadithi.
Kama kuna mwingine ana wazi analodhani linaweza kutulipa vizuri karibu.
Kuna mwana Jamii Forums humu alikuja na wazo, nilipoliangalia nikaona kama linawork, nikampigia simu akanipa ushirikiano nzuri sana( hakuwa tapeli kabisa nashuhudia hili hapa wazi wazi, he was a humble youth).
Biashara yenyewe ilikuwa ifanyike mkoani, sitaki kuitaja Kwa sababu mpaka sasa hata yeye hajui ID yangu hapa Jamii Forums.
Nilisafiri tukaanza biashara tulifanya vyema kama inavyotakiwa ingawa Niko busy sana nilikuwa namuachia.
Kwa ufupi niliingiza TSH 2,850,000 mpaka mwisho wa project nikipata jumla 520,000. Nilikula hasara kubwa mno.
Faida niliyopata ni shule, nikipata shule kubwa yapo mambo sitarudia kufanya, lakini yapo nitarudia kufanya ila Kwa umakini mkubwa sana.
Huyu kijana hakunitapeli ila tu basi biashara isikie hivi hivi, inalipa ikiwa inaadithiwa, ukiibgia ground unakutana na mengine kabisa ambayo hayakuwa kwenye hadithi.
Kama kuna mwingine ana wazi analodhani linaweza kutulipa vizuri karibu.