MREJESHO: Niliomba ushauri juu ya sehemu sahihi ya kutoa fungu la kumi

MREJESHO: Niliomba ushauri juu ya sehemu sahihi ya kutoa fungu la kumi

Fundi mahiri wa ujenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
4,159
Reaction score
2,844
Baada ya kuomba ushauri hapa jukwaani, watu walichangia kwa hekima, kuna waliosisitiza nikatoe mahala ninapoabudu pia kuna walionishauri nikatoe kwa watu wenye uhitaji.

Pia kunawaliosema nikatoe ninapoabudu halafu pia nikatoe kwa wahitaji.

WOTE MLIOCHANGIA, NAWASHUKURU SANA.

Mm na mke wangu tulionelea tukatoe kwenye kituo cha yatima.

Si kwamba hatuheshimu madhabahu, Ni kwamba uwezo wetu kwa sasa ni duni hatuwezi kumudu kutoa sehemu zote mbili.

Hata huko kwa yatima tulikoenda tulienda kwa aibu, maana tulichonacho nikidogo mno.

Ila mkipata nafasi nendeni mkawaone hao watoto, maana kwa mujibu wa alietupokea ni kwamba several times wanalia uji.

Ni hayo tu.
ITOSHE KUSEMA AHSANTE KWA USHIRIKIANO
 
Kuna Zaka, Dhabihu na Malimbuko

Zaka - Madhabahuni kwa kuhani au Mtumishi wako anayekuhudumia...hata kama sio kanisani kwako

Dhabihu - Popote hata kwa watoto yatima, Wagonjwa, Wafungwa n.k

Malimbuko - ni Uzao wa kwanza wa mifugo yako au mazao ya kwanza katika kuvuna

Nijuavyo ni hivyo
 
Hongera sana kwa hilo mdau,ni jambo jema na la heri but!

Nakumbuka ktk uzi wako huo wapo walioku-challenge kwamba “unatoka nje ya familia/ukoo wako kwenda kusaidia kwengine (sisemi ni jambo baya au umekosea lah) vipi ktk circle yako hukuwa na ndugu anayehitaji huo msaada? Hakuna yatima yeyote ktk ukoo wenu,je hapo jirani labda?”

Nb;sina lengo la kumkosoa mleta mada najaribu kujifunza kitu hapa
 
Si kwamba hatuheshimu madhabahu, Ni kwamba uwezo wetu kwa sasa ni duni hatuwezi kumudu kutoa sehemu zote mbili. Hapana. Hamuwezi kusaidia matapeli.

Hongera kwa ulichokifanya,na wengine wangeiga mfano huo
 
Hongera mkuu.
[/QUOTE
Hongera sana kwa hilo mdau,ni jambo jema na la heri but!

Nakumbuka ktk uzi wako huo wapo walioku-challenge kwamba “unatoka nje ya familia/ukoo wako kwenda kusaidia kwengine (sisemi ni jambo baya au umekosea lah) vipi ktk circle yako hukuwa na ndugu anayehitaji huo msaada?”

Nb;sina lengo la kumkosoa mleta mada najaribu kujifunza kitu hapa
Wapo wengi sana, wengine ni tumbo moja, ..... Sihao tu hata mm mwenyewe na wife na watoto wangu tuna uhitaji,
NA MAANISHA TUNAUHITAJI NA HICHO KIDOGO TULICHOPELEKA.
Lkn je! Hiyo moja ya kumi ni yetu?
 
Hongera sana kwa hilo mdau,ni jambo jema na la heri but!

Nakumbuka ktk uzi wako huo wapo walioku-challenge kwamba “unatoka nje ya familia/ukoo wako kwenda kusaidia kwengine (sisemi ni jambo baya au umekosea lah) vipi ktk circle yako hukuwa na ndugu anayehitaji huo msaada?hakuna yatima yeyote ktk ukoo wenu,je hapo jirani labda?”

Nb;sina lengo la kumkosoa mleta mada najaribu kujifunza kitu hapa
Wapo wengi sana, wengine ni tumbo moja, ..... Si hao tu hata mm mwenyewe na wife na watoto wangu tuna uhitaji,
NA MAANISHA TUNAUHITAJI NA HICHO KIDOGO TULICHOPELEKA.
Lkn je! Hiyo moja ya kumi ni yetu?
 
Sijui kama hili uliliwaza vizuri!

Yatima aliye kituo cha kumlea ana uwezekano mkubwa wa kusaidiwa na watu/vikundi mbalimbali vinavyopenda kufanya hivyo kwa dhumuni lao maalumu but tukumbuke yatima aliye nje ya kituo yeye anayo option moja tu,kama mlezi akisema hana kitu ni anakikosa kweli tofauti na aliye kwenye kituo maalumu.

Mimi nadhani huyu ndiye kipaumbele kama msaada unatoka kwa mtu mmoja(kama ulivyofanya wewe) tukiacha hata mayatima bado kwenye ukoo wako wewe hukosi mtu mgonjwa au jirani yako hapo alikuwa anahitaji msaada wako.

Bado sikupingi kwa ulichokifanya nazidi kukupongeza ila pia najaribu na mimi kupanua wigo wangu wa kuelewa mambo ya kijamii kama nipo sahihi kimtizamo au vipi!
 
Sijui kama hili uliliwaza vizuri!

Yatima aliye kituo cha kumlea ana uwezekano mkubwa wa kusaidiwa na watu/vikundi mbalimbali vinavyopenda kufanya hivyo kwa dhumuni lao maalumu but tukumbuke yatima aliye...
Uko sahihi,

Yawezekana sikuwa sahihi.

Mungu ni mwema atupe uelewa wa kufanya lililo jema wakati sahihi
 
Baada ya kuomba ushauri hapa jukwaani, watu walichangia kwa hekima, kuna waliosisitiza nikatoe mahala ninapoabudu pia kuna walionishauri nikatoe kwa watu wenye uhitaji.
Pia kunawaliosema nikatoe ninapoabudu halafu pia nikatoe kwa wahitaji.

WOTE MLIOCHANGIA, NAWASHUKURU SANA.

Mm na mke wangu tulionelea tukatoe kwenye kituo cha yatima.

Si kwamba hatuheshimu madhabahu, Ni kwamba uwezo wetu kwa sasa ni duni hatuwezi kumudu kutoa sehemu zote mbili.

Hata huko kwa yatima tulikoenda tulienda kwa aibu, maana tulichonacho nikidogo mno.

Ila mkipata nafasi nendeni mkawaone hao watoto, maana kwa mujibu wa alietupokea ni kwamba several times wanalia uji.

Ni hayo tu.
ITOSHE KUSEMA AHSANTE KWA USHIRIKIANO
Iko kidogo ulichotoa Kwa Mungu ni kikubwa sana ...
 
Back
Top Bottom