Hongera sana bidada.Habari zenu wana MMU nadhani post yangu ya juzi wengi wenu mliisoma , nilikuwa natafuta mpenzi nashukuruni kwa kuwa pamoja na Mimi, na wale ambao walinifuata pm na hawakukidhi vigezo wanisamehee ila nashukuru mpenzi nimepata anaitwa Isaac ahsanteni sana!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenchekesha sanaNami natafuta jamani....
embu weka tena..na picha safari hiihongera dada..wengine tuna nuks sijui damu ya kunguni..tushaeka matangazo karibia kumi..wanakuja wa ajabuajabu
Ungetaja jina analotumia humu jf ili wadada wamheshimu.Habari zenu wana MMU nadhani post yangu ya juzi wengi wenu mliisoma , nilikuwa natafuta mpenzi nashukuruni kwa kuwa pamoja na Mimi, na wale ambao walinifuata pm na hawakukidhi vigezo wanisamehee ila nashukuru mpenzi nimepata anaitwa Isaac ahsanteni sana!!!!
Unawajua? Nisaidie na mimi kutaftaNakuombea mrejesho hatua ya pili isiwe kibuti
Hongereni sana Daniella&Isaac
mmmh! kwani kuna ubaya kizuri akila na wenzie! ππUngetaja jina analotumia humu jf ili wadada wamheshimu.
Aaah shida yako tu nife kwa pressure,, eti weeee weweee hivyo vijembe nitakavyopigwa si vya nchi hii, we watanirushs roho bure wasije wakajitokeza wengine wakaanza kusema oooh alikuwa hawara yng Mara mzszi mwenzangu Mara imepanda imeshuka hata km sikweli shida yao waniumize tu moyo, sasa nanilivyo na wivu weee naipenda JF sitaki kuiacha....Ungetaja jina analotumia humu jf ili wadada wamheshimu.
Hahahahaha mimi sitii neno hapa ila nakufungulia uzi sasa hivi.mmmh! kwani kuna ubaya kizuri akila na wenzie! ππ
hahahahaha, huo uzi hautapata mchangiaji hahahahaahahahHahahahaha mimi sitii neno hapa ila nakufungulia uzi sasa hivi.
Labda Tutor B awe malaika azime mitandao[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]hahahahaha, huo uzi hautapata mchangiaji hahahahaahahah
Wakikurusha roho wa kuidaka na kuituliza pia wapo watakupa ushauri humu mpaka utashangaa.Aaah shida yako tu nife kwa pressure,, eti weeee weweee hivyo vijembe nitakavyopigwa si vya nchi hii, we watanirushs roho bure wasije wakajitokeza wengine wakaanza kusema oooh alikuwa hawara yng Mara mzszi mwenzangu Mara imepanda imeshuka hata km sikweli shida yao waniumize tu moyo, sasa nanilivyo na wivu weee naipenda JF sitaki kuiacha....
hahahahhahha, sijaangalia ule uzi wake ulifikisha viewers makumi mangapi, yaani!Labda Tutor B awe malaika azime mitandao[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hivi ulimpa nini jamaa mpaka akajihisi mnakaribia kufunga ndoa?hahahahhahha, sijaangalia ule uzi wake ulifikisha viewers makumi mangapi, yaani!