Subiria kwanza Dawa imkoleeUzi wa kutafuta mke umeuleta jana halafu leo unaleta mrejesho kuwa tayari umeshapata mke?
Utapigwa na kitu kizito soon.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niunganishe na mdgo ake wa kike kama yupo ....na Mimi nipate ....nipone na baridi hili la mbeya mkuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
watu mna make follow upUzi wa kutafuta mke umeuleta jana halafu leo unaleta mrejesho kuwa tayari umeshapata mke?
Utapigwa na kitu kizito soon.
kwan umekasirika mkuuWe endelea kumpata TU yakikufika urudi tena hapa hapa uje ufungue uzi mwingine, yana Mwisho mwanzo hua mtamu katikati pachungu Mwisho hapafai, all the best usisahau kuleta mrejesho mwingine sio unaingia mitini
Wewe ukileta mrejesho mwingine ndio utaelewa vizuri sasa hivi nenda kaendelee kwanza na taratibu zingine,kwan umekasirika mkuu
Wewe nenda ukaendelee kwanza na mambo mengine tunasubiria muendelezo wa mrejesho,mbna mnaniombea mabaya wabongo wenzangu