Mrejesho: Nimepata mke tayari, nashukuru wote mlionitafuta

Mrejesho: Nimepata mke tayari, nashukuru wote mlionitafuta

Ila tunakuaga negative sana dah almost kama hatutaki watu wafanikiwe na mahusiano yao, utaskia mtaachana tu, ipe miezi 6 atarudi, mara subiri kitu kizito kichwani

Asilimia kubwa wanapelekwa puta na mapenz au upweke wa kukosa mwenza bas mapovu kwa kila mtu anaetoa report kapata kifaa chake anakula raha

Tuache wivu, roho mbaya inazaa uchawi.
 
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati JamiiForums kunipatia mchumba,

Pia, sio kwamba wewe hustahili kuwa mke wangu kama sijakupa kipaumbele, la hasha ni vile nilikuwa nataka mmoja tu!

Wengine tunaweza kushirikiana katika biashara zingine, tu na zikaenda kwa uzuri.

Mazao, ng'ombe, cosmetics, vitenge, sukari,

Niko mpakani,

Naahidi, kumpenda shemeji yenu.

AHSANTE

Pia soma: Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto
Najiunga na wale wanaokaaga siti ya mbele
 
Aisee..
Yaani umetangaza jana tu leo tayari una mke?!

Aliyetafuta mke (jana) anajiita NIMEONA .
Aliyepata mke (leo) anaitwa john issa .

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom