Kazi ni moja.....Doggie tuuuu
Mkongwe naomba nisaidie nipate mke na Mimi. Vipi huko kwa wanyaki naweza kupata jiko?🤣🤣🤣🤣🤣 juzi tu tayari wamwita mke....we ndiyo maana yanakushinda mkuu
Watakuwa walishakulana siku ya kwanza tuMcheki afya kwanza.
Andika tangazo mkuuMkongwe naomba nisaidie nipate mke na Mimi. Vipi huko kwa wanyaki naweza kupata jiko?
wakulungwa wanajibu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] juzi tu tayari wamwita mke....we ndiyo maana yanakushinda mkuu
Tulia weweee 😉Acha Wivu Wewe Watu Penzi Lipo Ndindindi.[emoji23]
[emoji23][emoji39][emoji6]Tulia weweee [emoji6]
Najiunga na wale wanaokaaga siti ya mbeleNaomba nitoe shukrani zangu za dhati JamiiForums kunipatia mchumba,
Pia, sio kwamba wewe hustahili kuwa mke wangu kama sijakupa kipaumbele, la hasha ni vile nilikuwa nataka mmoja tu!
Wengine tunaweza kushirikiana katika biashara zingine, tu na zikaenda kwa uzuri.
Mazao, ng'ombe, cosmetics, vitenge, sukari,
Niko mpakani,
Naahidi, kumpenda shemeji yenu.
AHSANTE
Pia soma: Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto
Aisee..
Yaani umetangaza jana tu leo tayari una mke?!
Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto
Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi! Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe. Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'...www.jamiiforums.com