atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Karibu PM tuyajenge mkuu achana na yule jamaa aliekutosaKhe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu PM tuyajenge mkuu achana na yule jamaa aliekutosaKhe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Wew unanifaaa 0755407145Khe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Hahahha, njoo PMKhe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Mwanamke bila Chura ni sawa na NCHI bila Jeshi!Khe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Ahahaaa jf mna mambo .alikuacha shosti au unamjua?Dada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
Nitake radhi miss!.. Mimi ni ME.Ahahaaa jf mna mambo .alikuacha shosti au unamjua?
Za jioni wapendwa,
Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka.
Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio chaguo langu.
sasa umejuaje ni tapeli mkuu?Nitake radhi miss!.. Mimi ni ME.
Namjua!.Tunajuana. Ni mtani wangu.sasa umejuaje ni tapeli mkuu?
Hahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.Dada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
Akianikwa hapa wamama watamnyemeleaUngetutajia mpaka Id yake ili kuonyesha uaminifu.
Ili kuonyesha kama umempata sio umewapata
Huyu jamaa aliitwa na katoto kakamtambulishe kwao akakakimbia!..HahahhHahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.
hah hahaa... mkuu tuache na mapenzi Yetu" kama wewe ulizoea kuchezea Watoto wawatu na kuwatema kama Big G ...sio kwamba wote tupo hivyo"" yule naniii.....umemkula Dada wawatu umempachika mimba ajabu umeikataa "" mpaka sasa hivi JF hana hamu Nayo anaiona kama jelaDada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
ha ha hahaaNitake radhi miss!.. Mimi ni ME.
hahaaa...mkuu kwani siku kuambia..acc yangu ilikuwa hacked... zile comment sio zangu aisee.""Hahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.
Mkuu sasa ulitaka nione yule manzi "" anajulikana Jf nzima "" ulitaka niuweke rehani moyo ama "" au furaha yako nikuona nikibabuka moyoHuyu jamaa aliitwa na katoto kakamtambulishe kwao akakakimbia!..Hahahh