Mrejesho: Nimepata yule ninayemtaka

Mrejesho: Nimepata yule ninayemtaka

Wekamo kapicha tumuone, isijekuwa ni baba nanii [emoji3]
 
Itapendeza zaidi ukiachwa ulete na mrejesho pia
 
Dada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
 
Dada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
Hahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.
 
Hahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.
Huyu jamaa aliitwa na katoto kakamtambulishe kwao akakakimbia!..Hahahh
 
Dada yangu hearly ni tapeli kama unahisi umepata andaa uzi wa akiba kuja tutukana humu!..
hah hahaa... mkuu tuache na mapenzi Yetu" kama wewe ulizoea kuchezea Watoto wawatu na kuwatema kama Big G ...sio kwamba wote tupo hivyo"" yule naniii.....umemkula Dada wawatu umempachika mimba ajabu umeikataa "" mpaka sasa hivi JF hana hamu Nayo anaiona kama jela
 
Hahaha umenikumbusha alikua safarini kuelekea mtwara akala wali na kuku wakati wa kulipa akatokomea. Halafu utetezi wake anakwambia mazingira yalikua machafu na hawakaujali wateja.
hahaaa...mkuu kwani siku kuambia..acc yangu ilikuwa hacked... zile comment sio zangu aisee.""
 
Huyu jamaa aliitwa na katoto kakamtambulishe kwao akakakimbia!..Hahahh
Mkuu sasa ulitaka nione yule manzi "" anajulikana Jf nzima "" ulitaka niuweke rehani moyo ama "" au furaha yako nikuona nikibabuka moyo
 
Back
Top Bottom