BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hahahahaaaa
Haya bana....
Inabidi tu kuzinywa hizo chai na kahawa...hata kama ni chungu
Haya bana....
Inabidi tu kuzinywa hizo chai na kahawa...hata kama ni chungu
hivi we mama unajua ushaanza kuzeeka?dalili kuu ya kuanza kuzeeka ni kupenda kuchunguza kama ulichoambiwa ni kweli au lah!!!yaani wewe siku hizi kazi yako kuu ni kuchunguza thread za chai na kahawa kutwa kuchwa!!!
wenzako thread za chai tunazifurahia kichizi,thread ikinyooka inatukera tunaona bora tushinde kulekule jukwaa la siasa!dont be too serious mama life is easy