Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Mkuu mleta uzi nimebahatika kukutana na jamaa ambae kwa sasa ananifanyia kazi zangu za shamba alikuwa huko mwese no3

Anasema ardhi ni nzuri sana karanga,maharage,mahindi yanakubali sana hajwahi ona!! alizeti anasema inakuw kubwa hajawahi ona mvua haijawahi goma kule hakuna kulima ukakoswa .......Kanisimulia mengi sana

kasema nyama pori zipo maziwa mengi sana kuku bei chee mno ufugaji sio wa gharama kubwa Nimevutiwa sana na haya aliyosema kasema samaki wapo migebuka kule na dagaa wa kigoma hakuna zao utalima likagoma.

Thibitisha mkuu wangu Jifunafu
 
Mkuu huyo jamaa uliye mtag ana mwaka sasa haonekani hapa JF, sidhani kama ata kujibu kwa wakati. Nadhani kwa sasa anatumia simu ndogo, nitumie sms kwenye namba yangu ya kawaida kisha nitakupatia mawasiliano yake. Maana ukisema usubiri akujibu hapa utasubiri sana, namba zake ninazo fanya kuni cheki.
Mkuu mleta uzi nimebahatika kukutana na jamaa ambae kwa sasa ananifanyia kazi zangu za shamba alikuwa huko mwese no3

Anasema ardhi ni nzuri sana karanga,maharage,mahindi yanakubali sana hajwahi ona!! alizeti anasema inakuw kubwa hajawahi ona mvua haijawahi goma kule hakuna kulima ukakoswa .......Kanisimulia mengi sana

kasema nyama pori zipo maziwa mengi sana kuku bei chee mno ufugaji sio wa gharama kubwa Nimevutiwa sana na haya aliyosema kasema samaki wapo migebuka kule na dagaa wa kigoma hakuna zao utalima likagoma.

Thibitisha mkuu wangu Jifunafu
 
Sawa zimefika kwa mwalimu Davy na bundala+mtendaji
safiii sana ....msalimie mwalm mago ,bundala bila kumsahau na Beni ....hapo bado hawajapata mwalimu wa kike hadi leo kuna mtendaji wa kike alikaa muda mfupi akasepa nikaskia nesi alikuja akasepa
 
Mkuu mleta uzi nimebahatika kukutana na jamaa ambae kwa sasa ananifanyia kazi zangu za shamba alikuwa huko mwese no3

Anasema ardhi ni nzuri sana karanga,maharage,mahindi yanakubali sana hajwahi ona!! alizeti anasema inakuw kubwa hajawahi ona mvua haijawahi goma kule hakuna kulima ukakoswa .......Kanisimulia mengi sana

kasema nyama pori zipo maziwa mengi sana kuku bei chee mno ufugaji sio wa gharama kubwa Nimevutiwa sana na haya aliyosema kasema samaki wapo migebuka kule na dagaa wa kigoma hakuna zao utalima likagoma.

Thibitisha mkuu wangu Jifunafu
yuko sahihi items zote kule bei kitonga sanaaa
 
Back
Top Bottom