"Alikuwa anapiga deki kila sehemu ", hahaha!!Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Umecheka mwenyewe alivyosema jamaa katika ubora wake alikuwa anapiga deki kila sehemu🤣🤣🤣"Alikuwa anapiga deki kila sehemu ", hahaha!!
Hahaha, mkuu huyu mwamba alikuwa anapiga deki kotekote, mara ghafla hali imebadilika, hapigi deki tena wala dada wa watu hapati mjegeje.Umecheka mwenyewe alivyosema jamaa katika ubora wake alikuwa anapiga deki kila sehemu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AsantePole mrembo unapitia kipindi kigumu sana
Kwa jinsi jamaa alikuwa stadi wa kupiga deki kila mahali na ghafla akasimamisha hizo huduma naanza kupata picha jinsi bidada anamiss sana mautundu ya mwanetuHahaha, mkuu huyu mwamba alikuwa anapiga deki kotekote, mara ghafla hali imebadilika, hapigi deki tena wala dada wa watu hapati mjegeje.
Kuna tatizo hapo sio bure, huwezi kuikimbia K kizembe kama hakuna tatizo.
Mwamba apige deki, aendelee kupiga deki bila kukausha maji, dawa ikioatikana atakuwa anapiga deki na kukausha maji kama zamani. Bidada akipigwa deki nadhani ashki itapungua kiasi chake.Kwa jinsi jamaa alikuwa stadi wa kupiga deki kila mahali na ghafla akasimamisha hizo huduma naanza kupata picha jinsi bidada anamiss sana mautundu ya mwanetu
Kwa hiyo wewe unamshaurije shemeji yetu miss chuga ?
Tuko pamoja shemeji tunakupambania ili mambo yakae sawaAsante
Unasema tu usiombe yakukute mpaka nimekuja kuomba ushauri huku ni kwamba naipenda ndoa yangu natafuta amani Kama ningekuwa nataka kuchepuka ningeshachepuka Wala nisingeomba ushauri huyu ni mme wangu wa ndoa hamna kitu kinakera Kama kuhangaika na mtu ambaye hatoi ushirikiano Kama angekuwa na tatzo au Mimi ningekuwa na shida ni vizuri angesema ili tutatue tatzo kwa pamoja Ila yupo kimya haoneshi hata kuwa serious wanati mwingine nawaza labda anafanya makusudi inakera sana kuwaza matatizo ya mtu mzima mimi siyo Mungu mpaka nijue ana shida gani ndomana nimekata tamaa sababu inakeraSasa wewe miss chuga ukichepuka ndiyo umepata suluhisho ya ndoa YENU embu acha uhuni wako yaan nyege ndio zinakufanya uwe ivyo duhhh Hadi unataka uchepuke mhhh kaa utafakari na MWENZIO jinsi yakutatua TATIZO usije ukachepuka ukamletea MWENZIO magonjwa .......HALAFU UTASIKIA WANAUME NDIO WANAONGOZA KWA KU CHEAT .....ILA IT'S UPON YOUR MIND MI USHAURI WANGU NI HUO TU
Sidhani kama ni kweli, lbd ungesema "anatii masharti ya mganga wa kienyeji" hapo ningekubali.Hana nguvu za kiume huyo.
Kinachonikera yeye ni mme wangu wa ndoa Kama Kuna shida ilipaswa tukae chini tuitatue kwa pamoja Ila Hana ushirikiano ananiumiza sana kichwa kwa kweli kwa kifupi niseme tu ni mbinafsi Kama angekuwa na yeye ana uchungu na hii ndoa tungekaa pamoja tujue tatizo ni Nini ili tulitatue kwa pamoja Ila haoneshi ushirikiano inaumiza sana basi tuHuenda mmoja wenu anajua kuna tatizo na mwingine halijui tatizo.
Hahahaa sawa sawa mkuu hilo ndio lengo tunataka jamaa arudi katika ubora wake.Mwamba apige deki, aendelee kupiga deki bila kukausha maji...dawa ikioatikana atakuwa anapiga deki na kukausha maji kama zamani. Bidada akipigwa deki nadhani ashki itapungua kiasi chake.
Kwajinsi ambavyo hata hataki nimguse sasa Mimi nitajuaje Kama hiyo mashine inasimamaJe mashine yake inasimama?? Sisi wanaume kila asubuhi lazima mashine isimame, na pia mrembo akiipapasa mashine hata kama ulikuwa usingizini itainuka ghafla na kusimama. Je huyo mumeo hizi sifa anazo??
Hebu tuanzie hapo kwanza. Isije ikawa amepoteza nguvu za kiume halafu anavunga!!
Zama kwa waziri mkuu tuone nini unaweza kusaidia kwa kipindi hiki anachopitia bidada mkuu😀Hahahaa sawa sawa mkuu hilo ndio lengo tunataka jamaa arudi katika ubora wake.
Kwa muda huu ambao tunasubiria jamaa anatafutiwa dawa ya tatizo lake nini kifanyike kumsaidia bidada?