MREJESHO: Simuelewi mume wangu

Labda amegundua siri zako na zimeshamletea madhara na sasa anachokifanya ni kukamilisha ripoti.

Anajiuguza na muda akipona atakupa utakacho.

Mtandao umeanza kusoma live it, love it.

Mwisho: MAJIBU YOTE ANAYO YEYE NA HAPA UTAPATA POROJO TU, NA NI BORA UKAOMBE USHAURI KWA YULE MTU MZIMA ALIYEWASULUHISHA MWANZONI.

TOFAUTI NA HAPO TANGAZA JIMBO KUWA WAZI.
 
Umecheka mwenyewe alivyosema jamaa katika ubora wake alikuwa anapiga deki kila sehemu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha, mkuu huyu mwamba alikuwa anapiga deki kotekote, mara ghafla hali imebadilika, hapigi deki tena wala dada wa watu hapati mjegeje.

Kuna tatizo hapo sio bure, huwezi kuikimbia K kizembe kama hakuna tatizo.
 
Mawazo yote waliyocoment wadau yanaweza kuwa sahihi ila Mimi nakuja kinyume. miss chuga hivi huwezi fikiri labda mumeo amegundua anaumwa maradhi fulani hivyo anakwepa kukutomb* ili asije kukuambukiza.

Hebu jaribu kufikiri sawasawa bila kuongozwa na mihemuko ya wivu na dududu.
 
Hahaha, mkuu huyu mwamba alikuwa anapiga deki kotekote, mara ghafla hali imebadilika, hapigi deki tena wala dada wa watu hapati mjegeje.

Kuna tatizo hapo sio bure, huwezi kuikimbia K kizembe kama hakuna tatizo.
Kwa jinsi jamaa alikuwa stadi wa kupiga deki kila mahali na ghafla akasimamisha hizo huduma naanza kupata picha jinsi bidada anamiss sana mautundu ya mwanetu

Kwa hiyo wewe unamshaurije shemeji yetu miss chuga ?
 
Kwa jinsi jamaa alikuwa stadi wa kupiga deki kila mahali na ghafla akasimamisha hizo huduma naanza kupata picha jinsi bidada anamiss sana mautundu ya mwanetu

Kwa hiyo wewe unamshaurije shemeji yetu miss chuga ?
Mwamba apige deki, aendelee kupiga deki bila kukausha maji, dawa ikioatikana atakuwa anapiga deki na kukausha maji kama zamani. Bidada akipigwa deki nadhani ashki itapungua kiasi chake.
 
Unasema tu usiombe yakukute mpaka nimekuja kuomba ushauri huku ni kwamba naipenda ndoa yangu natafuta amani Kama ningekuwa nataka kuchepuka ningeshachepuka Wala nisingeomba ushauri huyu ni mme wangu wa ndoa hamna kitu kinakera Kama kuhangaika na mtu ambaye hatoi ushirikiano Kama angekuwa na tatzo au Mimi ningekuwa na shida ni vizuri angesema ili tutatue tatzo kwa pamoja Ila yupo kimya haoneshi hata kuwa serious wanati mwingine nawaza labda anafanya makusudi inakera sana kuwaza matatizo ya mtu mzima mimi siyo Mungu mpaka nijue ana shida gani ndomana nimekata tamaa sababu inakera
 
Huenda mmoja wenu anajua kuna tatizo na mwingine halijui tatizo.
Kinachonikera yeye ni mme wangu wa ndoa Kama Kuna shida ilipaswa tukae chini tuitatue kwa pamoja Ila Hana ushirikiano ananiumiza sana kichwa kwa kweli kwa kifupi niseme tu ni mbinafsi Kama angekuwa na yeye ana uchungu na hii ndoa tungekaa pamoja tujue tatizo ni Nini ili tulitatue kwa pamoja Ila haoneshi ushirikiano inaumiza sana basi tu
 
Mwamba apige deki, aendelee kupiga deki bila kukausha maji...dawa ikioatikana atakuwa anapiga deki na kukausha maji kama zamani. Bidada akipigwa deki nadhani ashki itapungua kiasi chake.
Hahahaa sawa sawa mkuu hilo ndio lengo tunataka jamaa arudi katika ubora wake.

Kwa muda huu ambao tunasubiria jamaa anatafutiwa dawa ya tatizo lake nini kifanyike kumsaidia bidada?
 
Kwajinsi ambavyo hata hataki nimguse sasa Mimi nitajuaje Kama hiyo mashine inasimama
 
Atakuwa na ugonjwa huyo sehemu za siri siyo bure kwahyo hataki kukuambukiza
 
Hahahaa sawa sawa mkuu hilo ndio lengo tunataka jamaa arudi katika ubora wake.

Kwa muda huu ambao tunasubiria jamaa anatafutiwa dawa ya tatizo lake nini kifanyike kumsaidia bidada?
Zama kwa waziri mkuu tuone nini unaweza kusaidia kwa kipindi hiki anachopitia bidada mkuu😀
 
Jamaa ana ngonjwa la zinaa anajitibu akipona mbususu ikae mkao wa kuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…