Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
We dada unaonekana unapenda sana kutiwa. Imefikia hatua jamaa kachoka so anavuta pumzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, Asee[emoji1787][emoji1787]chepuka tu, achana nae
Poleni na majukumu, wiki Kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa. nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni Nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri Kama mwanzo, kiukweli bado sijaridhika na hili jibu naona Kama ni usanii vile hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake naona tu Kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake
Nenda naye taratibu kwa kumuonyesha upendo. Huenda anaogopa kumwambia kwa kuhofia kuachwaInawezekana unachosema ni kweli hata na Mimi Kuna wakati nawaza hivyo Ila Kama ni hivyo Mimi ni mke wake kwanini asinishirikishe ili tutatue tatizo kwa pamoja haoni sasa ukimya wake unanitesa mpaka nishapata msongo wa mawazo
Usichoke akili bali badilisha fikra zako, muonyeshe upendo wa hali ya juu bila kuhitaji tendo la ndoa mpaka aone kuwa unampenda hata bila kuduu, hapo atafungukaEbu nisaidie Kama unachosema ni kweli inaweza ikawa ni Kama magonjwa gani maana nawaza Kama ni ukimwi kwahiyo atanizungusha maisha yote au ni hivi vi magonjwa vya mda mfupi naomba nisaidie hapa kunipa mawazo akili yangu ishachoka
Nasikitika kukuambia kua mumewako kashapata mume wake[emoji125]
Kwani ukiamua mpa mtu yoyote hata mm utapungukiwa nnPoleni na majukumu, wiki Kama mbili zimepita nilikuja kuomba ushauri kuwa mme wangu hataki tushiriki tendo la ndoa. nashukuru wote mlionishauri na kunitia moyo Mungu awabariki sana.
Mrejesho upo hivi baada ya kukaa naye chini kumuuliza shida ni Nini ameishia kunijibu kuwa anatumia eti dozi ya kupunguza mwili akimaliza dozi mambo yatakuwa mazuri Kama mwanzo, kiukweli bado sijaridhika na hili jibu naona Kama ni usanii vile hivi kuna dozi ya kupunguza mwili ambayo mtumiaji anakatazwa kufanya mapenzi na mke wake naona tu Kama mapicha picha bado yanaendelea.
Naombeni mnisaidie vipi kutakuwa na ukweli wowote kuhusu haya majibu yake
Mwenyewe sijui kama kakuelewa alifeli hili somo na pia hesabu akikuja naomba unitag plz😆 in advanceProf. mzabzab this is your field of expertise Kindly advice.
Sio wote wanapungua wengine wanagain weightHahaha nimecheka kweli eti yupo kwenye dozi ya kupunguza mwili wakati one of the "weight cut off" reason ni kufanya mapenzi mara kwa mara coz unaburn fats n callories kwa kiwango kikubwa. Kama kakupa sababu hii kweli kakuona boya, kakudanganya kwa uwongo unaojionea aibu wenyewe (uwongo mweupe)
Back on the topic.. Mpaka hapo solution unayo mwenyewe ndani ya moyo wako
Hivi kuliwa ni ishu sana ???Kwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
In some aspects kwa wanawake inaongeza weight, ila kwa wanaume it leads to sex dyfunction. Kama jamaa yako ni kibonge mshauri aanze mazoezi mapema sweetheart, less otherwise awe anatumia sexual energy booster which are very harmful to health after a certain period of time of dozage.Sio wote wanapungua wengine wanagain weight
Hakunaga booster ni ugonjwa tu wanajiwekea okay poa mwaya .In some aspects kwa wanawake inaongeza weight, ila kwa wanaume it leads to sex dyfunction. Kama jamaa yako ni kibonge mshauri aanze mazoezi mapema sweetheart, less otherwise awe anatumia sexual energy booster which are very harmful to health after a certain period of time of dozage.
Hahaha sasa si umsaidie miss chuga jamani ndio mumewe huyo!!Hakunaga booster ni ugonjwa tu wanajiwekea okay poa mwaya .
Kwanza dawa za kukosa nguvu za kiume ninazo ila kuwapa jamii forum siwezi hata mtu achwe potelea mbali kwanza hapendwi
Anilete mie hiyo mbususu nisasambue tuuProf. mzabzab this is your field of expertise Kindly advice.
Mke wako akiwa na harufu si unamwambia? Kukaa kimya unajenga ama unabomoa?Labda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
Baby ulipoteaAnilete mie hiyo mbususu nisasambue tuu