Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Gonga 5 to 7 littlre za maji kila siku utauaflush mda sio mrefuMi hata sijui km hua nnabeba mawe mangep kwenye figo zangu mpaka sasa, naishi kwa kudra hakuchi kunakucha
Acha kumpotosha mwenzakoPole mkuu, ikishindikana nenda Kawe.
Ni option pia.Acha kumpotosha mwenzako
Aisee kawe ndio kwangu palePole mkuu, ikishindikana nenda Kawe.
Duuu ngoja nikajaribuChemsha majani ya mkokomanga changanya na mapera viganja vyako vinne kwenye Lita Moja Kisha kunywa mara tatu kwa siku inarahisika kuyakakata
Au tumia apple cider vinegar inasagasa
Kama imeshishindikana tumia juice ya aloe Vera pamoja na maji mengi.
Mpe maelekezo vizuri aende Kawe hospital inaitwaje?Pole mkuu, ikishindikana nenda Kawe.
Duuu ngoja nikajaribu
Ila hio Avatar sio poa inashtua watoto badilisha bhana ni mbaya Sana nikiiona naichukia sanaMatatu kushoto moja kulia
Kidney stones ni matesoBaaada ya kulikojoa miezi iliyopita
Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha
Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje (Agakhan)
Majibu yamekuja kama hivi[emoji26][emoji26]
Bado yamebaki MAWE ma 4
Kubwa lenye 0.47 cm na mengine ya size ya kawaida[emoji36]
Niliambiwa yapo njiani kutoka kwenye Figo na kuelekea njia ya mkojo
Nizingatie maji kwa wingi na dawa[emoji36]
Mateso yanaanza upyaaaa japo sisikii chochote
Yalikua yanasubiri yakuee ndio yaanze kunisumbuaa
View attachment 2456359View attachment 2456361View attachment 2456364
Sanaaa yan daaahKidney stones ni mateso
Kweli kila mtu na fani yake ,hapo mimi sioni hata jiwe moja kwenye hiyo picha.MREJESHO TENA
nimeenda kupima nimeambiwa yamebaki mawe ma wili
Dokta kasema mawili itakua umeyakojoa bila kujua cz ni madogo sana
Ushauri alionipa nikunywa maji kwa wingii ili niweze kuyatoa
Dawa alisema nisimeze niache kwanza(dawa siku meza tangu niambiwe yapo yamebaki).
Baada ya siku 30 nirudi tena hospital kufanya Atrasound.
View attachment 2469096View attachment 2469097
Fuata ushauri uliopewa yasipo toka nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia na kuyatoa hayo mawe yaliyobakia uguwa pole.MREJESHO TENA
nimeenda kupima nimeambiwa yamebaki mawe ma wili
Dokta kasema mawili itakua umeyakojoa bila kujua cz ni madogo sana
Ushauri alionipa nikunywa maji kwa wingii ili niweze kuyatoa
Dawa alisema nisimeze niache kwanza(dawa siku meza tangu niambiwe yapo yamebaki).
Baada ya siku 30 nirudi tena hospital kufanya Atrasound.
View attachment 2469096View attachment 2469097