Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Baaada ya kulikojoa miezi iliyopita
Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha
Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje (Agakhan)
Majibu yamekuja kama hivi[emoji26][emoji26]
Bado yamebaki MAWE ma 4
Kubwa lenye 0.47 cm na mengine ya size ya kawaida[emoji36]
Niliambiwa yapo njiani kutoka kwenye Figo na kuelekea njia ya mkojo
Nizingatie maji kwa wingi na dawa[emoji36]
Mateso yanaanza upyaaaa japo sisikii chochote
Yalikua yanasubiri yakuee ndio yaanze kunisumbuaa
Nikaona haina haja kurudi hospital kufanya chekup kwasababu maumivu yalishaisha
Jana nikaenda kupima UTI.baaade nikakumbuka nicheki hali yangu ya Figo ikoje (Agakhan)
Majibu yamekuja kama hivi[emoji26][emoji26]
Bado yamebaki MAWE ma 4
Kubwa lenye 0.47 cm na mengine ya size ya kawaida[emoji36]
Niliambiwa yapo njiani kutoka kwenye Figo na kuelekea njia ya mkojo
Nizingatie maji kwa wingi na dawa[emoji36]
Mateso yanaanza upyaaaa japo sisikii chochote
Yalikua yanasubiri yakuee ndio yaanze kunisumbuaa