Mrejesho: Upungufu wa nguvu za kike

Mrejesho: Upungufu wa nguvu za kike

Sounds like placebo effect. Anyway la msingi mambo yanaenda poa, La msingi tusirudi tulipokwama. Kila la kheri mkuu
 
Duuuuu sasa hivi umejaa mimaji, kwa lishe hiyo utakua unamwaga kama bomba..
 
Yaani wewe hata usinikumbushe ulivyokuwa unanitesa na vimaswali vyako tu, ushauri wenyewe hutoi ili mradi kunizingua. [emoji17] [emoji17]
Nilitaka nifike mwisho wa maswali ili nijue nakusaidia vipi umeona wapi daktari anatoa dawa bila kujua tatizo husika la mgonjwa?
 
Naomba uelekeze kipimo kwa mfano tende kiasi gani,mdalasini vijiko vingapi nk nk. Tafadhali Ntigy!
 
Naomba uelekeze kipimo kwa mfano tende kiasi gani,mdalasini vijiko vingapi nk nk. Tafadhali Ntigy!
Mdalasini kijiko kimoja cha chakula,asali vijiko viwili vya chakula,punje 10 za lozi, punje 10 za kitunguu saumu, punje 10 za tende,kitunguu maji 1 cha wastani,kipande cha tangawizi,robo ya kokwa la parachichi na maziwa vikombe 2 vya chai.
 
Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Habari! Wadau nawashukuru wote mlionipa ushauri kuhusiana na tatizo tajwa hapo juu. Ushauri wenu niliupokea na kuufanyia kazi kwa kadri nilivyoweza.Zifuatazo ni hatua nilizochukua katika kutatua tatizo:-

a)Kwa kuwa baadhi ya wadau waliniambia kuwa yamkini nina jini mahaba,hatua ya kwanza kabisa nilienda kuombewa lakini pia nilimwomba mwenyewe Mungu aniondolee na aniepushe na nguvu zozote za giza zinazosababasha hiyo hali.

b)Kufuatia maoni ya baadhi ya wadau kuwa inawezekana sipati muda wa kupumzika na nina msongo wa mawazo,niliamua kusimamisha shughuli zangu zote za utafutaji wa pesa (nimejipa likizo ya wiki 2) na kuhakikisha kuwa kichwa changu sikisumbui kwa mawazo ya aina yoyote ya kukiumiza,muda mwingi ninautumia kufanya yale ninayoyapenda hasa kusikiliza muziki.

c)Baadhi ya wadau walinishauri niangalie aina ya vyakula ninavyokula,nilijiwekea ratiba ya kula mchemsho wa pweza,ndizi na nyanya chungu kila siku.

d)Baadhi ya wadau walishauri ulaji wa vitu mbalimbali kama mdalasini/vitunguu/asali/tende n.k. Naam hapo ndipo paliponiumiza kichwa kwani baadhi ya vitu nilishavitumia huko nyuma lakini havikunipa matokeo chanya,vingine niliona vinahitaji nivitumie kwa muda mrefu zaidi na kwa mishe zangu nikaona sitaweza hivyo niliamua kufanya yafuatayo:-
Niliamua kutengeneza juisi yenye mchanganyiko huu; tende, lozi, mdalasini, zabibu kavu, kitunguu maji, kitunguu saumu,kokwa la parachichi, tangawizi, asali mbichi na maziwa fresh pasipo kutia hata tone la maji. Juisi hii nainywa kila siku asubuhi kabla ya kula chochote na usiku kabla ya kulala.

Wadau leo ni siku ya 5 tangu nichukue hizo hatua 4 za hapo juu naam, nguvu za kike zimerudi vibaya mno, hamu ya kufanya mapenzi ambayo ilipotea kwa miaka 3 imerudi. Wadau nawashukuru sana kwa ushauri wenu na kunitia moyo,hakika nimefurahi sana kwani nimeteseka kwa hii hali kwa muda mrefu.

Kwa namna ya pekee nawashukuru sana wadau hawa FaizaFoxy, luse, valuablecock, Kiyawi, Tarakilishi, Raphael wa Ureno, @Kulubhuke, Lovery, muggyen, Lady peace, manyusi, Ngozi Joram, Mentor, Sonko Jr. na wengineo wote mlioguswa na tatizo langu kwa namna moja ama nyingine.
Kama hamu ya mapenzi imerudi vibaya mno umeshapata wa kukugegeda au nijisogeze karibu mimi?[emoji1]
 
Safi sana..sasa umepata wa kuzi balance hizo nguvu..make naona nipo idle kabisa..alafu sinaga gharama mimi..nakuja nimesha kula kabisa..
 
Aaah huu ubaguzi sasa walio kupa ushauri ni wengi lakn umetaja wachache tu,unakatisha tamaa member sio vizuri ungeweka neno la jumla sio kutaja majina hadharan kama Bashite
 
Back
Top Bottom