username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
-
- #41
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena uzuri jumapili kuna karaoke tutaimba mpaka basiJf get together Jumapili hapo acha simu nyumbani watu wasinyapie handle yako humu
Mtanikuta na jezi yangu ya UBAYA UBWELA
Kumbe savannah inaweza kumlewesha MTU 😊Tulikaa gizani na jezi za Yanga, utakua ulikua ushawaka Savannah
Hapapotezi mkuu ,ukifika kinyerezi mnadani/mahakamani uliza Runway Pub au uliza Ikupa BakeryNina jopo la walevi mkuu shida sio mwenyeji mitaa hio. Kama unaweza kuweka na google map location hapa kama link itakua poa sana.
Jmos ndio nzuri...jpili hangover.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena uzuri jumapili kuna karaoke tutaimba mpaka basi
tutakuja ,wazee wa Hansonchoice tutatimba hapo next weekLocal beer elfu 2 tu .
Savana kali kuliko safari lager ila kwa sababu tu tamu tamu ndio maana watu wanaichukulia poa.Kumbe savannah inaweza kumlewesha MTU 😊
Sana.Kumbe savannah inaweza kumlewesha MTU 😊
🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jmos ndio nzuri...jpili hangover.
Jtatu job
Sawa mkuuHapapotezi mkuu ,ukifika kinyerezi mnadani/mahakamani uliza Runway Pub au uliza Ikupa Bakery
0757720362 unaweza ukanipigia pia
Wewe kweli ni mjinga...soon utakua mpumbavuWengine wanafuata umbea hapo
mmbea wa kwanza huyu hapa.Wewe kweli ni mjinga...soon utakua mpumbavu
Karibuni sana mzigo upo wa kutoshatutakuja ,wazee wa Hansonchoice tutatimba hapo next week
😂😂😂Wengine wanafuata umbea hapo
AmeenSafi sana endelea kukaza Buti zaidi na MUNGU atazidi kukufanikisha zaidi mkuu
Itakua sie wengine alcohol persistent zetu ni kubwa Sanaa.Sana.
Itakua sie wengine alcohol persistent zetu ni kubwa Sanaa.Savana kali kuliko safari lager ila kwa sababu tu tamu tamu ndio maana watu wanaichukulia poa.
Elfu 5 mkuuItakua sie wengine alcohol persistent zetu ni kubwa Sanaa.
Smirnoff black ace unauzajee @