username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #181
karibuJapo niko mbali na kinyerezi siku nikitimba maeneo hayo nta google nifike hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibuJapo niko mbali na kinyerezi siku nikitimba maeneo hayo nta google nifike hapo
Karibu .Hapa tumeshaianza weekendusiwaze mkuu, weekend MFALME_wa_TAFRIJA nitakuwa hapo.
JF ni zaidi ya SOURCE OF INFOR....kiroho safi username requiredRoughly 10M inatosha.
Sisi tulinunua kwa mtu tukafanya modifications na kuizindua upya ,,,,,,alikuwa anaitwa Irene ni mdada maarufu.
Itabidi tutie mguu hapo kwa kweliHuyu anaerap mbona kama mzabzab
Pamoja sanaJF ni zaidi ya SOURCE OF INFOR....kiroho safi username required
Karibuni sanaItabidi tutie mguu hapo kwa kweli
poapoa kamanda nitapita kukuunga aiseeUkifika kinyerezi mahakamani ulizia Ikupa Bakery
Hakuna gari nyeusi hapa muheshimiwaNimepaki gari nyuesi hapa naingia ndani..
karibuppoapoa kamanda nitapita kukuunga aisee
Misambwanda ipo lakini ?Karibuni sana
IpoMisambwanda ipo lakini ?
Asante sanaNi nzuri sana pub yako umeweza umeweza tena
Karibu sanaKaka uwenda nikaibuka j pili, kuku sapoti jf mikono juu
Mbona sikukuonaNi nzuri sana pub yako umeweza umeweza tena