Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

Sema nini wakuu?? Humu kinachowaponza ni mambo madogo madogo. Hasa haya:

1 KUTOKUWA NA SIRI.

2 KUDHANIA KILA MTU NI TAPELI.

Kuna watu nishawahi kuwapq offer ya madude ya kuvuta wateja dukani, hahaha wakadhani nataka kuwatapeli.

Mwingine anakuja pm anataka umsaidie jambo fulani, unampa ABC, akishaona tu ujumbe na kuusoma anaishia mitini, hakuna cha asante wala mrejesho.

Nishawahi kujitolea kuwapa wasichana dawa ya kuchoma dukani kuvuta wateja dukani and IT WORKS 100%, I don't know how and why it works but IT WORKS 100%.

Nikawaambia hii sio ya kuwauzia ila ni ya kuwaonesha, nikawaambia lazima usafiri uje huku niliko na usiwe umeolewa na sitaki malipo yoyote.

Juzi Kati kuna member alianzisha uzi akilia lia anahitaji msaada wa jambo fulani, nikakwambia njoo pm, kuna nikamuelekeza cha KUFANYA, Toka muda huo sijaona ujumbe wowote wa shukrani wala nini.

NYIE WATU MNAJIFANYA KUTAKA MSAADA LAKINI HAMSAIDIKI.

Tunaleta experience zetu bado mtu anasema ni TANGAZO la biashara.!!!!!!!! Kila mtu abaki na anachojua
Hii ni kwel mkuu Mimi nimewapa wengi namba ya bibi wa dawa ya vidonda vya tumbo na matatizo ya kupata Mimba ajabu hawalet mrejesho hatakusema thanks jamani duh
 
Wewe hiyo connection ya mganga uliyonayo hukuitumia upate Hela? Kwa nini utake kupewa 20k, angali una connection za kiganga za kukusaidia upate hela nyingi, hiyo njaa ya kuomba 20k uliyonayo inadhihirisha hakuna lolote, utapeli tu!
Humu ndani kwenye hii ishu ya wataalam kunna matapeli sijapata kuona, 90% ni matapeli (,maqumanyoko)

hio 10% naachia ambao walinionyesha mwelekeo wa kweli.
 
usiyoyajua ni sawa na usiku wa Giza wewe unafanya kila biashara duniani yenye faida
Wewe hiyo connection ya mganga uliyonayo hukuitumia upate Hela? Kwa nini utake kupewa 20k, angali una connection za kiganga za kukusaidia upate hela nyingi, hiyo njaa ya kuomba 20k uliyonayo inadhihirisha hakuna lolote, utapeli tu!
Ukiona huna haja nyamaza na funga mdomo wako kama masikini wanajua kila biashara inafaida siwangefanya sasa unaongeleaje na unajua si kila mtu anaweza fuata masharti
 
Badala ya kuhangaika kutafuta njia za kutengeneza pesa. Wewe unahangaika kutafuta pesa kama ilivyo. Kitu ambacho hakiwezekani, hapo bila ya kujumlisha kwamba uchawi haupo.

Njoo baada ya miaka 10 uje kusoma comment yangu. Nakuhakikishia utakuwa masikini zaidi na mwenye shida zaidi ya sasa hivi.

Some days ago, nimeingia online nimekuta Technology imeendelea kiasi kwamba AI inaweza kugenerenate human like video sequences. Authentically real.

Naingia humu nakuta kuna watu wanaamini wanaweza kuingiza pesa unreasonably out of nowhere. Kweli Africa ipo nyuma ya dunia haki ya nani.
 
Kuna bibi mmoja yupo hapo Morogoro maeneo mang’ura Kwa chini kidogo vijiji vitatu au vinne kutoka hapo uhakika kabsa ila nilifuta namba zake na kuwaacha jamaa zangu walionishinikiza twende kwa mganga kutafuta utajiri mimi sikutaka wao walikuwa na nia kweli na leo ni matajiri na nna uhakika kabsa utajiri wamepewa na huyo bibi

Ana utajiri wa pete- hii pete unaongea nayo yaani kama binaadamu mwenzako unataka nini? Na inakupatia hii pete ina mashart mengi sana yaani- sio nzuri

Ana utajiri wa kuoza - hii mnatakiwa muwe wawili na anawapa na dawa ya kuoza yaani zamu zamu kuoza uafunga mlango unampaka hivyo vimaji mwenzako sijui vimafuta then unamfungia mlango anaanza kuoza wale wadudu wanaotoka ndio wanakuja geuka pesa unaoza siku 3 mwenzako anachota wale funza na kuwajaza kwenye beseni au jaba baada ya siku tatu wanageuka elf 10 , 10 na zamu yako ikifika hivyo hivyo

Ana utajiri wa nyoka- unatakiwa uwe wewe na mke wako nyoka mnamfungia chumbani na kila baada ya mda unatakiwa umpeleke mke wako kwenye hicho chumba nyoka amlambe ukeni mke wako mpaka anaporidhika na pesa zinamiminika baada ya mda

Kutoa kafara wazazi- hapa ndio alinifanya nikatae utajiri wa kiganga yaani nitoe kafara baba na mama yangu nipate pesa- sikuweza hata kuvumilia kukaa kusikiliza tajiri zingine niliomba kuondoka, nawapenda sana wazazi wangu aisee japo kuwa watu wazima waache waendelee kuishi mpaka M/Mungu atapowapitishia nusra yake.. nilisepa

Tulienda na kukutana kwenye biashara na ndio tulikutana na kushahuriana kwenda kwa huyo mganga na tulienda na mimi niliwaacha wenzangu sasa hivi ni matajiri mbaya aisee na nawaogopa hata namba zao sizitaki aisee coz najua fika utajiri wao sio
Hatari sanaa
 
Back
Top Bottom