Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hAPANA AISEE USIMPE BHANA BROE ATAMALIZA FAMILIA YETU MM NAYEYE NI NDUGU WADAM KABISA HAKAWII KUMUONDOA BMKUBWANicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.
Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi
Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..
Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.
Utawasiliana nae zaidi.
Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
KaribuNakuja pm
mkuu naomba unitumie namba pm ya huyo mtaalam ninashida kwakwelNicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.
Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi
Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..
Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.
Utawasiliana nae zaidi.
Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
njoo dmmkuu naomba unitumie namba pm ya huyo mtaalam ninashida kwakwel
Vip alifanyaje funguka make dunia ndogo sanaNajua waganga wanapitia hizi komenti pia .
Wewe mmama wa Bukoba ulikuwa unajitangaza kupitia Kasibante FM muda wa saa mbili usiku mwaka 2007/2008 nakutafuta sana siku nikikudaka utajua hujui.
Nilimtongoza akanikataa 😭Vip alifanyaje funguka make dunia ndogo sana
Hana jipyaMpeni koneksheni mpwa...
Vipi maajabu yake yakoje tupe conectionTwenzetu Kwa ludege Tanga
Huo uchawi upo mbele ya Ilula, kijiji kimoja kinaitwa Nigeria ndogo (jina lake la Aslil nimesahau), wapo wataalam wakinga hapo ni balaa ila ni wa kweli. Sema uchawi wa kikinga wengi hawautaki, una masharti zaidi ya magumu yaani. Nishafika huko kipindi najitafuta, acha mzee, maisha haya tushateseka sana, mtu akikukuta unajipata anatamani ila njia ni ngumu sana.Vipi ule wa punje za mkataba wa utajiri,Hivi kweli upo?
Mbona shida yako ndogo hivyo, bagamoyo tu unamaliza.Binafsi sihitaji pesa ya mazingaombwe....ila nahitaji zindiko la kuzuia wizi wa mali zangu, au dawa ya kuwanasa wezi....kma kuna mtu mwenye connection ya uhakika yaani mtaalamu anayeweza kunisaidia kuzuia kuibiwa anisaidie
Hawa wanataka utajiri wa ndagu sio zindiko za kukuza biashara, ukijua tofauti huwezi andika huo upupu ulioandika.Mnakimbilia kwa waganga masharti mnayaweza unajua unaweza pata mganga mzuri tu ila unavyojieleza akakuona ww chenga akaamua akupige za kichwa ndipo unaona mganga tapeli na kiufupi watu wengi hawaziwezi gharama ndio maana unashauriwa tafuta hela au biashara ndipo utafute mganga akoleze biashara yako mbali na hapo mkono mtupu haulambwi
Huyo balaa, anapiga kitabu hata saa 2, akimaliza hapo anakuwa ashajua anafanyaje kukutoa hapo ulipo, anaitwa mzee Samasimba.Vipi maajabu yake yakoje tupe conection
Huo uchawi upo mbele ya Ilula, kijiji kimoja kinaitwa Nigeria ndogo (jina lake la Aslil nimesahau), wapo wataalam wakinga hapo ni balaa ila ni wa kweli. Sema uchawi wa kikinga wengi hawautaki, una masharti zaidi ya magumu yaani. Nishafika huko kipindi najitafuta, acha mzee, maisha haya tushateseka sana, mtu akikukuta unajipata anatamani ila njia