rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Atakula na wa kwao 😂Janga unaloenda kuchuma sijui utakula nani
Pole kabla
INSTAGRAM @dollrubii_decors
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakula na wa kwao 😂Janga unaloenda kuchuma sijui utakula nani
Pole kabla
Wabeba zege daily wana bidii wanawajibika ila kwnye suala LA maendelelo ni 00Utajiri hautafutwi kwa uchawi, umedanganywa ukadanganyika.
Fanya kazi kwa bidii.
Al hamis inatawaliwa na sayari ya mushtar /jupiter ambayo inahusika na maswala ya mafanikio na bahati na kipatoHivi hii siku ya alhamis INA nguvu gani kwenye ulimwengu wa roho
Mkuu naomba naomba yakoNicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.
Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi
Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..
Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.
Utawasiliana nae zaidi.
Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
Mtaalam right?Nenda Tukuyu shukia Ushirika chukua Bodaboda mpaka kijiji cha Utete. Pale muulizie Jack. Ni kijana mmoja mdogo hivi wa rika la miaka 30. Ni wa familia ya kichifu. Atakusaidia haja zako
Nakuja pmSema nini wakuu?? Humu kinachowaponza ni mambo madogo madogo. Hasa haya:
1 KUTOKUWA NA SIRI.
2 KUDHANIA KILA MTU NI TAPELI.
Kuna watu nishawahi kuwapq offer ya madude ya kuvuta wateja dukani, hahaha wakadhani nataka kuwatapeli.
Mwingine anakuja pm anataka umsaidie jambo fulani, unampa ABC, akishaona tu ujumbe na kuusoma anaishia mitini, hakuna cha asante wala mrejesho.
Nishawahi kujitolea kuwapa wasichana dawa ya kuchoma dukani kuvuta wateja dukani and IT WORKS 100%, I don't know how and why it works but IT WORKS 100%.
Nikawaambia hii sio ya kuwauzia ila ni ya kuwaonesha, nikawaambia lazima usafiri uje huku niliko na usiwe umeolewa na sitaki malipo yoyote.
Juzi Kati kuna member alianzisha uzi akilia lia anahitaji msaada wa jambo fulani, nikakwambia njoo pm, kuna nikamuelekeza cha KUFANYA, Toka muda huo sijaona ujumbe wowote wa shukrani wala nini.
NYIE WATU MNAJIFANYA KUTAKA MSAADA LAKINI HAMSAIDIKI.
Tunaleta experience zetu bado mtu anasema ni TANGAZO la biashara.!!!!!!!! Kila mtu abaki na anachojua
Hujaolewa?Nakuja pm
BadoHujaolewa?
Mkuu naomba namba Yako tafadhali Nina shida nayoHuyu mwamba nilishampa connection ya mganga wa moto akashindwa kujielezea anatetemeka tu😂😂😂. Labda useme unataka pesa za majini lakini hizi za waganga huziwezi maana hujui nn cha kufanya kwa wakati gani
MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyona kichwa
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
Nichek mzee 0744312003Huyu mwamba nilishampa connection ya mganga wa moto akashindwa kujielezea anatetemeka tu[emoji23][emoji23][emoji23]. Labda useme unataka pesa za majini lakini hizi za waganga huziwezi maana hujui nn cha kufanya kwa wakati gani
[emoji16][emoji16][emoji16]kua uyaoneMafanikio yapo mbali sana uwa nawaza sana utaskia mtu amenunua Nyumba milion mia 300 wenzetu wanapataje mamilion hayo ya pesaa.au wanapambana dunia.Gani?
Nicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.
Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi
Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..
Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.
Utawasiliana nae zaidi.
Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi