Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

Binafsi sihitaji pesa ya mazingaombwe....ila nahitaji zindiko la kuzuia wizi wa mali zangu, au dawa ya kuwanasa wezi....kma kuna mtu mwenye connection ya uhakika yaani mtaalamu anayeweza kunisaidia kuzuia kuibiwa anisaidie
 
Nicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.

Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi

Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..

Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.

Utawasiliana nae zaidi.

Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
Mkuu naomba naomba yako
 
Mnakimbilia kwa waganga masharti mnayaweza unajua unaweza pata mganga mzuri tu ila unavyojieleza akakuona ww chenga akaamua akupige za kichwa ndipo unaona mganga tapeli na kiufupi watu wengi hawaziwezi gharama ndio maana unashauriwa tafuta hela au biashara ndipo utafute mganga akoleze biashara yako mbali na hapo mkono mtupu haulambwi
 
Sema nini wakuu?? Humu kinachowaponza ni mambo madogo madogo. Hasa haya:

1 KUTOKUWA NA SIRI.

2 KUDHANIA KILA MTU NI TAPELI.

Kuna watu nishawahi kuwapq offer ya madude ya kuvuta wateja dukani, hahaha wakadhani nataka kuwatapeli.

Mwingine anakuja pm anataka umsaidie jambo fulani, unampa ABC, akishaona tu ujumbe na kuusoma anaishia mitini, hakuna cha asante wala mrejesho.

Nishawahi kujitolea kuwapa wasichana dawa ya kuchoma dukani kuvuta wateja dukani and IT WORKS 100%, I don't know how and why it works but IT WORKS 100%.

Nikawaambia hii sio ya kuwauzia ila ni ya kuwaonesha, nikawaambia lazima usafiri uje huku niliko na usiwe umeolewa na sitaki malipo yoyote.

Juzi Kati kuna member alianzisha uzi akilia lia anahitaji msaada wa jambo fulani, nikakwambia njoo pm, kuna nikamuelekeza cha KUFANYA, Toka muda huo sijaona ujumbe wowote wa shukrani wala nini.

NYIE WATU MNAJIFANYA KUTAKA MSAADA LAKINI HAMSAIDIKI.

Tunaleta experience zetu bado mtu anasema ni TANGAZO la biashara.!!!!!!!! Kila mtu abaki na anachojua
Nakuja pm
 
Huyu mwamba nilishampa connection ya mganga wa moto akashindwa kujielezea anatetemeka tu😂😂😂. Labda useme unataka pesa za majini lakini hizi za waganga huziwezi maana hujui nn cha kufanya kwa wakati gani
Mkuu naomba namba Yako tafadhali Nina shida nayo
 
MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyona kichwa
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude

Wewe ulimtumia huyo mganga ukafanikiwa?
Kama una mafanikio kwa nini udemand 5000 kwa ajili ya hiyo connection ama ndio masharti uliyopewa?
 
Mafanikio yapo mbali sana uwa nawaza sana utaskia mtu amenunua Nyumba milion mia 300 wenzetu wanapataje mamilion hayo ya pesaa.au wanapambana dunia.Gani?
[emoji16][emoji16][emoji16]kua uyaone
 
Nicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.

Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi

Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..

Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.

Utawasiliana nae zaidi.

Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi

Noma sana
 
Ubaya wa mambo haya matapeli ni wengi usipime....
Niliwahi kupigwa na mganga aitwaye BADAWI huyu bwana nitapeli hasa.
Yuko sana huko You tube analandalanda huko akitafuta watu wa kuwatapeli.Kifupi waganga wa kweli ni shida kuwapata.
 
Back
Top Bottom