Nakuignore tu sheeenziNimmkumbuka mtu mmoja anataka kuchat huku anasema wadada w jf mnajidai sana mpo juu kila mtu mwananume wake ana hela mna maisha mazuri sisi wengine hatuwawezi yet kila siku unachat nae unajitahidi kumuweka sawa asijiskie mnyonge ila anakuprovoke mpaka unaona hii sasa kero au analeta kaunafiki fulani hivi unataka mchat hata stori ila killa saa kusema wadada wa jf fyokofyoko mimi kama dada wa jf nitajiskiaje aaaaaa
Kumbe ileNiliipata hiyo habari ndg yangu mzigua alinitumia huko pm mm kwanza hata situmii sasa mtu anaweka thread yake labda alinijia ndotoni ndio mambo ya jf hayo
Sijampa block hata namuheshimu sana sana ila aliniangusha sana yaani aiseee naweza kusema nlimpa attention na kumuweka sawa asijejiskie tofauti ila akanifanya mpaka nikampuyakia huwa sipendi mtu ajiskie mnyonge sababu ya pesa au elimu au maisha ila isiwe sababu ya kuwasema wengine vibayaHahaha ameshakuja pm badala muongee yanayowahusu bado analeta story zile zile za wadada wa jf....
Aisee huyo alikua anaitaka block kwa gharama yoyote.
Inabidi wajue tu jf wanatumia wadada viwango wenye upeo wao, sasa kama mtu hawawezi basi apambane na wa size zake huko Badoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkianza kuitwa lile jina hapa mnaanza kulia lia sasa ndo michezo gani hii unatufanyia Mdogo wangu
Birthday girl
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkianza kuitwa lile jina hapa mnaanza kulia lia sasa ndo michezo gani hii unatufanyia Mdogo wangu
Wise woman.... hongera sana.Sijampa block hata namuheshimu sana sana ila aliniangusha sana yaani aiseee naweza kusema nlimpa attention na kumuweka sawa asijejiskie tofauti ila akanifanya mpaka nikampuyakia huwa sipendi mtu ajiskie mnyonge sababu ya pesa au elimu au maisha ila isiwe sababu ya kuwasema wengine vibaya
Tunakupenda bwanaWatu hamnipendi eeh?? Mmhhh hatare !!.
Naona shida ni ndogo watu wanapenda kuprovoke wenzao ,lkn wao hawataki kuguswa?
Noo , you reap what you sow , ukinivunjia heshima namm nakuvunjia heshima Mara mbili yake.
Kunipenda?? Dont care at all coz sipo duniani ku entertain kila mtu .
Ukinipenda nakupenda..ukinichukia nakuchukia
Mtoa Mada ,asante sana kwa upendo wako Mama [emoji8][emoji8][emoji8]
Nani huyo jamani?Ile post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
Elimu Elimu Elimu na maarifa ufahamu kitu muhimu sana katika maisha ukikosa hivo unapata tabu sana.Ndo rafiki yenu alivyo sasaIlinipita hiyo eeh.
[emoji7] [emoji7] [emoji7]Watu hamnipendi eeh?? Mmhhh hatare !!.
Naona shida ni ndogo watu wanapenda kuprovoke wenzao ,lkn wao hawataki kuguswa?
Noo , you reap what you sow , ukinivunjia heshima namm nakuvunjia heshima Mara mbili yake.
Kunipenda?? Dont care at all coz sipo duniani ku entertain kila mtu .
Ukinipenda nakupenda..ukinichukia nakuchukia
Mtoa Mada ,asante sana kwa upendo wako Mama [emoji8][emoji8][emoji8]
Anza na tulio karibuNakusubiri tukate cake
Putin usinicheke bana mimi nakuelea ila saa zingine unaniangusha sana unaelewa unaniangusha sanaWatu hamnipendi eeh?? Mmhhh hatare !!.
Naona shida ni ndogo watu wanapenda kuprovoke wenzao ,lkn wao hawataki kuguswa?
Noo , you reap what you sow , ukinivunjia heshima namm nakuvunjia heshima Mara mbili yake.
Kunipenda?? Dont care at all coz sipo duniani ku entertain kila mtu .
Ukinipenda nakupenda..ukinichukia nakuchukia
Mtoa Mada ,asante sana kwa upendo wako Mama [emoji8][emoji8][emoji8]
Ah leo umekazia kwenye Account B mkuu, sasa nikushauri uwe na simu mbili ili uwe online sehem mbili kwa wakati mmoja au vp, maana hapo hadi ulogout Account B ndo urudi tena Account A uanze kutushushia povu kwanini hatukuamini etc etcUtasubiri sana mkuu mi siyo vlad,na Vlad mwenyewe haji Leo hapa.
mambo mrembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jitulize
Sio wewe mkuu, Vlad yule mwingineeWatu hamnipendi eeh?? Mmhhh hatare !!.
Naona shida ni ndogo watu wanapenda kuprovoke wenzao ,lkn wao hawataki kuguswa?
Noo , you reap what you sow , ukinivunjia heshima namm nakuvunjia heshima Mara mbili yake.
Kunipenda?? Dont care at all coz sipo duniani ku entertain kila mtu .
Ukinipenda nakupenda..ukinichukia nakuchukia
Mtoa Mada ,asante sana kwa upendo wako Mama [emoji8][emoji8][emoji8]