Putin The Great
Member
- Jul 28, 2018
- 63
- 55
Aaahh achen izo , Sema nin , Kwann uzi wa mwenzenu ndo mmeugeuza kua kituo chakupigia soga???Tunakupenda bwana
Si unaona uzi unakimbia,ujue kuwa una mvutooo
Aaaaaa hao hawapo hata kama shunnie kaambiwa mdangaji asa muda wa kuhangaika na picha za tu atatoa wapi,Raynavero atakuambia muulize ni nani
Ile post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
Ile uliyonitumiaKumbe ile
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji7] [emoji7] [emoji7]
Kumbe ulipostiwa, duh nlichelewaIle post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] PugiMkianza kuitwa lile jina hapa mnaanza kulia lia sasa ndo michezo gani hii unatufanyia Mdogo wangu
AAAA nimechekaKumbe ulipostiwa, duh nlichelewa
Unajua na hii ni ID yangu sema nilisahau password tuuuππππ ila leo nimeikumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pugi
Aaaaa mtu wa urusi tuache bwana weee,kwani we na african princess hamjamalizana tu?Aaahh achen izo , Sema nin , Kwann uzi wa mwenzenu ndo mmeugeuza kua kituo chakupigia soga???
Kwann msipigie soga uko PM ktk magroup ??
Usijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.Putin usinicheke bana mimi nakuelea ila saa zingine unaniangusha sana unaelewa unaniangusha sana
Unajua na hii ni ID yangu sema nilisahau password tuuuππππ ila leo nimeikumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu basi nitumie na mimi hizo picha maana nlichelewa pindiAAAA nimecheka
Duuu mie nmemkabia tuuSio wewe mkuu, Vlad yule mwinginee
Aaaaa hivi keki huwa unajinunulia au unanunuliwa?Mbona naona unalikwepa hilo dogo?Anza na tulio karibu
Wewe anza kuniponda mimi na kunichukia lazima lile limama likutumie pm,fala kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu basi nitumie na mimi hizo picha maana nlichelewa pindi
Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapaHakohako kalikochakaa ndo usingizi wangu,hujiulizi inakuwaje kichaa anapata mimba na anazaa,au haujawahi ona vichaa me na ke wanaishi pamoja hata jalalani na wanazaa kitu upendo tu,ukiona wanini wenzio wanawaza watampata lini.
Sasa utakosa michuchu humu shauri yakoUsijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.
Unajua inshu ipo ivi, Nyuzi zangu zote huwa naandika kwa hisia zangu. Huwa sizidirect kwa mtu wala nn.
Naandikaga kwa kukazia nmezaliwa ivo. Sinaga lugha ya kuzunguka sana.
Naandika vile navyoamin mimi ,nasiandiki nikihofu nani na nani watafurahi au watacheka .
Sasa unakuta mtu ,nyuz zangu anachukulia nmemuandika yeye, basi atakuja kukoment na hasira?? Mtu wa ivo nmfanyeje??? ...mwingine ndo kabisaaa anaenda mbali anaanza kutumia ya PM kuniattack?? Mtu wa ivo HAITOKAA ITOKEE NIMUACHE !!
Amu weee nakuelewa mtu wangu !! Nakuelewa sana mjori