Putin The Great
Member
- Jul 28, 2018
- 63
- 55
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haaaaa kubabaleeee yaaaah umenvunja mbavu... Punyeto niliiacha nikiwa form 2 aseeKashajikubalia mkuu, sahv atakua huko anatumia mkono wa kulia akiushirikisha na wa kushoto
Hebu nipitie hapa kwa Shayo tukale wote mihogoNaomba muandike maandiko mafupimafupi...naenda kula mihogo nitarudi kuendelea kusoma
Mkuu hebu shangaa na wewe, eti mtu hamjawahi kuonana, tena wote mnatumia IDs fake na avatar fake, halafu anasema ametokea kukupenda sana! Hayo si maajabu?
Mimi huwa najiulizaga watu wanapendana vipi bila kuonana?
Jf hii ndio raha yake bwana!
Si wajua tena Dada yako Mtanga.Nimeipenda hiyo DOOOOH Dada ake
Yaan ukweli nikwamba kuna watu wanataka niandike vile wanavyopenda wao yaan mambo matam matamu kwao !!Kwa hiyo kuna kundi la Watu linataka kukunyamazisha?
Basi nilipitwa!
Ila umeongea point moja ambayo kama pande zote mbili itazingatia kutwa hamna marumbano
"Kujali yako JF!"
Unafikiri hicho kikombe ulikishinda??
Kuna wengine wanajuana MkuuMkuu hebu shangaa na wewe, eti mtu hamjawahi kuonana, tena wote mnatumia IDs fake na avatar fake, halafu anasema ametokea kukupenda sana! Hayo si maajabu?
Mimi huwa nacheka sana nikisoma "threads" kama hizo, lakini ndiyo raha ya hii Jamii Forums, kuna vituko vingi sana.
Linakula nyayo linabikisha miguuKabisa
Linakukula miguu linakubakishia nyayo!
Nashangaa nakua attached huku tu!.. Ngoja nirudi mitaa yetu!..Wewe na mmu wapi na wapi eti
Sawasawa Jje's cheupe mzurihapana swali lilikuwa la Vladmir PUTIN bhana... tu close tu hii topic and thanks kwa ushirikiano wako.
Dada wa mie Shunie ukwapi. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba muandike maandiko mafupimafupi...naenda kula mihogo nitarudi kuendelea kusoma
Asante shost [emoji8][emoji4]Andika tu shosti toa la moyoni,kuliko kukaa nalo.
Mkuu hivi ndivyo vituko vya JF, unakuta kuna "member" wanamiliki IDs zaidi ya moja(multiple IDs), tena ukichukulia zote ni IDs fake, basi inakuwa rahisi sana kwa mtu kujiandikia "uzi" ili kutafuta "kiki" kama wanavyosema wenyewe.so kajiandikia!
AHAHAHHAHAHA JF haijawahi KUBORE!
miaka nenda miaka rudi!
Shayo mkubwa au shayo mdogoHebu nipitie hapa kwa Shayo tukale wote mihogo
Nakubaliana na hilo mkuu wapo wanaojuana, lakini mleta "mada" na Vlad walikuwa hawajawahi kuonana before kutokana na uzi wa kwanza aliouleta mleta mada mwenyewe.Kuna wengine wanajuana Mkuu
Ndio maana nikasema 'wengine'Nakubaliana na hilo mkuu wapo wanaojuana, lakini mleta "mada" na Vlad walikuwa hawajawahi kuonana before kutokana na uzi wa kwanza aliouleta mleta mada mwenyewe.
Nashangaa nakua attached huku tu!.. Ngoja nirudi mitaa yetu!..
Nimeshafika kwa shayo muda sana..na nimeshamaliza....sasa nimerudi kusoma maandikoHebu nipitie hapa kwa Shayo tukale wote mihogo
Dada wa mie Shunie ukwapi. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tunaambiwa tuandike maandiko mafupi mafupi. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha.. Kwema lakini Dada akeSi wajua tena Dada yako Mtanga.
Basi ukiisema kinyumbani ndio yanoga hasaaaaaaaa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]