Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Aisee
 
Oooooh yes!!
Hiyo para ya mwisho huwa ndo inafanya niwe JF ever since.
LE
 
Oooooh yes!!
Hiyo para ya mwisho huwa ndo inafanya niwe JF ever since.
LE
 
Sio mimi sasa .


Niliposoma hiyo thread ndo nilijua you are one person.

1. Huwezi kuandika para 5 bila kuweka sentensi zenye herufi kubwa (kupayuka);

2. Huwa mara nyingi sana unaweka vituo mahali siyo, huweki nafasi baada ya vituo vidogo na vikubwa, unaweza kianza sentensi kwa herufi ndogo; na

3. Huwa hujui kufupisha, kitu cha kutumia maneno mafupi unazunguka nacho sana.

NB: Unapenda sana attention kama watoto wa kike.
 
Kumbe alafu leo kama niliota nilipita kufukua makaburi ya pm khaaaa nimebaki domo waziii jaman hivi kutongoza mwanamke nayo ni sifaaa
 
Mwandiko wako huwa haujifichi.
Mwandiko upi?? Mann umeandika sasa??? Unakot uzi uloandikwa na Carlos..unakot koment iloandikwa na Carlos ...alafu bado unasema ndo mwenyewe??? Umeushugulisha ubongo wako kisawasawa kweli???

Au unavyosema ndo mwenyewe unamaanisha nn???


Kipi kinachokuaminisha huo ujinga kua natafuta Attention?? Na yann?? inisaidie nn nakwafaida gani??
Ni sababu ya Maandiko yangu??? Wewe unavyoandika maandiko yako huwa unaandika kutafuta Attention???


Think outside the Box!!! Mawazo yako hayawezi fanana namawazo yangu hata siku moja...ndio maana wakat maandiko yangu yanakukera, wengine wanayafurahia nakunipa Tano[emoji109]
 
Mkuu nimesema kwamba Carlos ndo Vlad, huo mwandiko niliokuwekea hapo ni wa Carlos, aliyeandika kama anavyoandika Vlad.
 
Linganisha hiyo quote ya Carlos na huu mwandiko.

Kuna kitu unatakiwa kukifanyia kazi kwenye mwandiko, kama unanielewa utabadilika for your own good.

Faida moja kubwa JF ni kukubali kufanyia kazi mapungufu tunayoambiwa na wadau, siyo kila anayekukosoa anakuonea wivu, jifunze kuandika.

Ninapenda kusoma unayoyaandika, shida ni kwamba una mwandiko unaofanya msomaji adhani aliyeandika ni kilaza.
 

hahahhahah black & white.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…