Hahaha sehemeji safi sana. Vlad mtu wangu wa karibu. SanaUle ule kivipi?
Bila shaka akisoma ataelewa,maana umzaniavyo mtu kupitia nyuzi na comment kumbe sivyo alivyo ktk maisha ya kawaida,afu Mtu hata akiwa ndivyo alivyo,upendo unaweza mbadilisha 95%Kuna mmoja n ilimpata hapa.. kabla ya kuonana akaona asome koment na nyuzi zangu kwanza. Aisee alinihukumu kwa mambo ambayo sio kabisa na kuniona mtu wa ajabu sana. Nilijalibu kumwambia hii ni jf ni sehem yenye mambo mengi lakini hakunielewa. Naomba Mungu asome hii ya kwako labda ataelewa kiasi
Asante sana shemeji,nimefurahi kukalibishwa nawe.Hahaha sehemeji safi sana. Vlad mtu wangu wa karibu. Sana
Hiki ni Kipaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anikate masikio nmemkosea nn mimi?? Atakua muonevu
Sisi majobless tuna enjoy mwanawane!Drama zimeanza tena
hahahaaaaVladimirovich Putin njooo huku !!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli tembo akijificha kwenye shamba la nyasi lazima aonekane tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu wanabadilisha tu ussername wanatengeneza dramaSisi majobless tuna enjoy mwanawane!
Mtu anajipersonalise 'kitriliogy'![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu wanabadilisha tu ussername wanatengeneza drama
Bora tuyajenge ya kwetu tuachane na haya feki [emoji6][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaona ee[emoji12]Bora tuyajenge ya kwetu tuachane na haya feki [emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nami nikazie kusaidia kucheka jamaniiihahahaaaa
Lakini nahitaji unipush kidogo maana mimi ni domo zege [emoji8]Unaona ee[emoji12]
Mbona unacheka mkuuhahahaaaa
Utaniweza lakini maana mimi mwenyewe domo cementLakini nahitaji unipush kidogo maana mimi ni domo zege [emoji8]