lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,741
Kuna mmoja n ilimpata hapa.. kabla ya kuonana akaona asome koment na nyuzi zangu kwanza. Aisee alinihukumu kwa mambo ambayo sio kabisa na kuniona mtu wa ajabu sana. Nilijalibu kumwambia hii ni jf ni sehem yenye mambo mengi lakini hakunielewa. Naomba Mungu asome hii ya kwako labda ataelewa kiasi