ImekugusaNAIOMBA HII kaka!
tafadhali!
Kritka anasema kabwana kako ni katoto, ivi nikweli ??? Au mapicha picha ?Asante
Kipi kilichonifurahisha mkuu?Naona unefurahi sana
yup!Imekugusa
Mtaani kwako wapi tuje uamini mkuu.Nawasubiria kanisani au mtaani kwetu.
Hapa ni nyuma ya keyboard sijaamini.
Lakini watu wanatoana huko huko na mambo yanaendaNdio maana lile jukwaa ni private.
Kwakweli embu niokoe jaman yaaan ,nmejipinda weee lkn kazi bureeNgoja nimshtue braza Mshana ikiwezekana leo saa nane usiku tukupeleke maana duuh!
mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.Hahaha naona umekazia mrembo,
wengine wantania labda kwenye nyuzi lakini wakiwa pm wanakua real (japo siamini kwenye kutongozana kwa maandishi)
Mkiwafata pm hua wanasoma nyuzi zenu kwanza,
kile ulichoandika ndicho kinachokutafsiri ulivyo kwa hiyo muwe makini na maandishi yenu.
Sometimes your past may harm your future.
Kashadondokewa huyo sema wake hajamchora,Carlos the jackal tunasubiri umchore wakoPamoja na kutuchora kule bado hujadondokewa hata na mmoja!! nitakupeleka bermuda triangle ukaoge .
[emoji38][emoji38]
Aaaa mimi nlikuwa nasoma wanawake tupu na utaratibu haukuwa wa hivyo wa kusoma barua ila mara nyingi karatasi za hivyo mtu alikuwa ananunua zipo kma kwa notepad anakuja nazo tunaanza kuomba na kujishaua nazosisi zikikutwa zinachomwa haraka.
Sijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,Lakini watu wanatoana huko huko na mambo yanaenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usinikumbushe!Aaaa mimi nlikuwa nasoma wanawake tupu na utaratibu haukuwa wa hivyo wa kusoma barua ila mara nyingi karatasi za hivyo mtu alikuwa ananunua zipo kma kwa notepad anakuja nazo tunaanza kuomba na kujishaua nazo
Hahaha mweeee usiniambie?? Aya aya ngoja nije nimchoreKashadondokewa huyo sema wake hajamchora,Carlos the jackal tunasubiri umchore wako
hahahahhah nakujua wewe! umevaa baibui uje ulipue huku hahahhaha tuko pamoja kama hutojariYani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??
wonders hazitoisha dunia hii
Nakugawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpaka basiusinikumbushe!
nilikuwa naitwa mara 20 kati ya barua 27 zitakazosomwa siku ya barua!
nikifika bwenini kwanza naoga!
navaa kishumizi
napanda dekani
nakunja nne
halafu naanza kusoma barua!
ahahahahhahahaha ushwahi kuwekesha barua uje uisome jumapili wewe?
hivi yale mahaba yaliendaga wapi oddo?
Naam, kama anaongea pumba jukwaan lazima tu hata private awe yule yule na sio private hata maisha yake halisi anavyoishi lazima ndio yawe ya hivyo hivyo, wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya aina mbili yaan kwenye mtandao akawa rude lakini kwenye maisha halisi akawa polite.mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.