Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Hahaha naona umekazia mrembo,
wengine wantania labda kwenye nyuzi lakini wakiwa pm wanakua real (japo siamini kwenye kutongozana kwa maandishi)
mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
 
sisi zikikutwa zinachomwa haraka.
Aaaa mimi nlikuwa nasoma wanawake tupu na utaratibu haukuwa wa hivyo wa kusoma barua ila mara nyingi karatasi za hivyo mtu alikuwa ananunua zipo kma kwa notepad anakuja nazo tunaanza kuomba na kujishaua nazo
 
Lakini watu wanatoana huko huko na mambo yanaenda
Sijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,

Lakini mtu haiwezekani ukaanzisha uzi mf; wadada wa jf wabaya, mara sijui wadada wa jf maharage ya mbeya, zikiwa nyuzi za kuwaponda wanawake wewe ndio kinara unapoooonda mpaka unasahau kama ulizaliwa na mwanamke halafu hapo unamfata mwanamke PM akishasoma unayochangia jukwaan ndio hayo unahisi atakukubali kweli??

Vaa viatu vyake.
 
Aaaa mimi nlikuwa nasoma wanawake tupu na utaratibu haukuwa wa hivyo wa kusoma barua ila mara nyingi karatasi za hivyo mtu alikuwa ananunua zipo kma kwa notepad anakuja nazo tunaanza kuomba na kujishaua nazo
usinikumbushe!
nilikuwa naitwa mara 20 kati ya barua 27 zitakazosomwa siku ya barua!
nikifika bwenini kwanza naoga!
navaa kishumizi
napanda dekani
nakunja nne
halafu naanza kusoma barua!
ahahahahhahahaha ushwahi kuwekesha barua uje uisome jumapili wewe?
hivi yale mahaba yaliendaga wapi oddo?
 
Yani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??

wonders hazitoisha dunia hii
hahahahhah nakujua wewe! umevaa baibui uje ulipue huku hahahhaha tuko pamoja kama hutojari
 
usinikumbushe!
nilikuwa naitwa mara 20 kati ya barua 27 zitakazosomwa siku ya barua!
nikifika bwenini kwanza naoga!
navaa kishumizi
napanda dekani
nakunja nne
halafu naanza kusoma barua!
ahahahahhahahaha ushwahi kuwekesha barua uje uisome jumapili wewe?
hivi yale mahaba yaliendaga wapi oddo?
Nakugawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpaka basi
 
mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Naam, kama anaongea pumba jukwaan lazima tu hata private awe yule yule na sio private hata maisha yake halisi anavyoishi lazima ndio yawe ya hivyo hivyo, wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya aina mbili yaan kwenye mtandao akawa rude lakini kwenye maisha halisi akawa polite.
Wachache sana.
 
Back
Top Bottom