The Crushing
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 569
- 903
Aaaarg jamani mbona mnataka tusiwe huru sasa!mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Anamficha wa nini, mwambie amchore tumjueeeee.Kashadondokewa huyo sema wake hajamchora,Carlos the jackal tunasubiri umchore wako
Huwezi amini wapo wanaowakubali. Mfano halisi tunao hapa kwenye huu uzi kama kweli mtoa mada sio muhusika alietajwa.Sijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,
Lakini mtu haiwezekani ukaanzisha uzi mf; wadada wa jf wabaya, mara sijui wadada wa jf maharage ya mbeya, zikiwa nyuzi za kuwaponda wanawake wewe ndio kinara unapoooonda mpaka unasahau kama ulizaliwa na mwanamke halafu hapo unamfata mwanamke PM akishasoma unayochangia jukwaan ndio hayo unahisi atakukubali kweli??
Vaa viatu vyake.
Wapo wachache na mmoja nawaambiaga watu humu ukiona anachoandika na alivyo kawaida unaweza shangaaNaam, kama anaongea pumba jukwaan lazima tu hata private awe yule yule na sio private hata maisha yake halisi anavyoishi lazima ndio yawe ya hivyo hivyo, wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya aina mbili yaan kwenye mtandao akawa rude lakini kwenye maisha halisi akawa polite.
Wachache sana.
Sawa sawa jamani yaani mimi pia natabia hiyo natafuta post za nyuma,hazieleweki nakuignore kabisa hunioni tena,siku hizi wanajitia kufunga file hata ukifunga utafungua tu si unataka nikujibu pm,na ndo ukweli huo wanaoandika kuponda vya ovyo ndivyo walivyo hata nje ya humu wasijiteteeSijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,
Lakini mtu haiwezekani ukaanzisha uzi mf; wadada wa jf wabaya, mara sijui wadada wa jf maharage ya mbeya, zikiwa nyuzi za kuwaponda wanawake wewe ndio kinara unapoooonda mpaka unasahau kama ulizaliwa na mwanamke halafu hapo unamfata mwanamke PM akishasoma unayochangia jukwaan ndio hayo unahisi atakukubali kweli??
Vaa viatu vyake.
kulishakuwaga na hako kamovemenSijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,
Lakini mtu haiwezekani ukaanzisha uzi mf; wadada wa jf wabaya, mara sijui wadada wa jf maharage ya mbeya, zikiwa nyuzi za kuwaponda wanawake wewe ndio kinara unapoooonda mpaka unasahau kama ulizaliwa na mwanamke halafu hapo unamfata mwanamke PM akishasoma unayochangia jukwaan ndio hayo unahisi atakukubali kweli??
Vaa viatu vyake.
wacha kabisa!Nakugawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpaka basi
Noo. Kuweni huru kabisa ujinga ujinga ndo tunaupenda ila madharau na kujifanya bora ndo hatutakiAaaarg jamani mbona mnataka tusiwe huru sasa!
Mahaba yalikuwa so pure so true afu mnaweza msipigane hata mabusu mpaka mnaachana!usinikumbushe!
nilikuwa naitwa mara 20 kati ya barua 27 zitakazosomwa siku ya barua!
nikifika bwenini kwanza naoga!
navaa kishumizi
napanda dekani
nakunja nne
halafu naanza kusoma barua!
ahahahahhahahaha ushwahi kuwekesha barua uje uisome jumapili wewe?
hivi yale mahaba yaliendaga wapi oddo?
Hahahaha umenikumbusha mada za rafiki yangu Putin unajua kweli eeeh marehem Sam wa ukweli alisema "hata kwetu wapo"Huwezi amini wapo wanaowakubali. Mfano halisi tunao hapa kwenye huu uzi kama kweli mtoa mada sio muhusika alietajwa.
Hahahahahahaaakulishakuwaga na hako kamovemen
wacha kabisa!
nilikuwa na mwandiko mzuriiiiiii!
naandika barua naweka kaubeti ka wimbo!
mara nimeweka stiker!
mara nimechora kapaka kanarembua!
ahahahahahhahahaha daaadeck wallahi!
sijui muda wa kusoma nilikuwa Napata saa ngapi
siku ya usafi wa bweni mi space yangu imejaa cards tupuuuu!ahahahahahhaha
LAITI BABANGU ANGEJUA nilichokuwa nafanya na hela yake yaliyokuwa ananitumia kila baada ya wiki mbili!angenichemsha SUPU YA KONGORO!
Haaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Noo. Kuweni huru kabisa ujinga ujinga ndo tunaupenda ila madharau na kujifanya bora ndo hatutaki
Hahahahahhaaaa..Hahahaha umenikumbusha mada za rafiki yangu Putin unajua kweli eeeh marehem Sam wa ukweli alisema "hata kwetu wapo"
Lol, nimeamini.
Kamchore tumjue Wifi mkuu sio unatafuta sababu ya kuomba kufatwa pm wakati una wako.Hahaha mweeee usiniambie?? Aya aya ngoja nije nimchore
Usijali nitamchora na mtamjua tu maana umeshaniambia nmepataKamchore tumjue Wifi mkuu sio unatafuta sababu ya kuomba kufatwa pm wakati una wako.
Hahaha ignored lazima imuhusu.Sawa sawa jamani yaani mimi pia natabia hiyo natafuta post za nyuma,hazieleweki nakuignore kabisa hunioni tena,siku hizi wanajitia kufunga file hata ukifunga utafungua tu si unataka nikujibu pm,na ndo ukweli huo wanaoandika kuponda vya ovyo ndivyo walivyo hata nje ya humu wasijitetee
acha tu!Mahaba yalikuwa so pure so true afu mnaweza msipigane hata mabusu mpaka mnaachana!
Yani unapokea kadi tumbo la chini unapata butterflies!
Roho inaenda mbiiio
ahahahahahahhahhaa sa ukinikuta nilivo mchungu kwa wanangu!kuna muda najikuta nacheka!Hahahahahahaaa
Kashapata ujumbe wake anakwenda kumchora soon tutamjua.Anamficha wa nini, mwambie amchore tumjueeeee.
[emoji445]Mambo ya kuzima taa si mahaba ni kuwangaaaa.[emoji445]