Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Huwezi amini wapo wanaowakubali. Mfano halisi tunao hapa kwenye huu uzi kama kweli mtoa mada sio muhusika alietajwa.
 
Wapo wachache na mmoja nawaambiaga watu humu ukiona anachoandika na alivyo kawaida unaweza shangaa
 
Sawa sawa jamani yaani mimi pia natabia hiyo natafuta post za nyuma,hazieleweki nakuignore kabisa hunioni tena,siku hizi wanajitia kufunga file hata ukifunga utafungua tu si unataka nikujibu pm,na ndo ukweli huo wanaoandika kuponda vya ovyo ndivyo walivyo hata nje ya humu wasijitetee
 
kulishakuwaga na hako kamovemen
Nakugawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpaka basi
wacha kabisa!
nilikuwa na mwandiko mzuriiiiiii!
naandika barua naweka kaubeti ka wimbo!
mara nimeweka stiker!
mara nimechora kapaka kanarembua!
ahahahahahhahahaha daaadeck wallahi!
sijui muda wa kusoma nilikuwa Napata saa ngapi
siku ya usafi wa bweni mi space yangu imejaa cards tupuuuu!ahahahahahhaha
LAITI BABANGU ANGEJUA nilichokuwa nafanya na hela yake yaliyokuwa ananitumia kila baada ya wiki mbili!angenichemsha SUPU YA KONGORO!
 
Mahaba yalikuwa so pure so true afu mnaweza msipigane hata mabusu mpaka mnaachana!
Yani unapokea kadi tumbo la chini unapata butterflies!
Roho inaenda mbiiio
 
Hahahahahahaaa
 
mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Haaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha ignored lazima imuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…